kwanini wanawake hampendi kutumia condom

kwanini wanawake hampendi kutumia condom

Women like to please! Sasa kama sie twaanza kupeleka kauu wao si wanatulie na kazi inaendelea? Tunawapa mitihan kwa kutokuvaa

hebu siku nyingine vaa condom ndo uanze uzinzi wako then akikwambia vua condomu mfanye kavu kavu ndo uje hapa ulete majibu.
 
Labda uliokutana nao wewe. Siku hizi wanajali siunajua wanaogopa mimba kuliko ngoma!
 
nimeshanga sana sio mara moja kama juzi nimepiga goli moja na ndomu sasa naona m2 kashika ndonga kaingiza kwenye uke kumuuliza vp mbona bila ndomu mpaka kuja kupata jibu nishakita kama mikito kumi na mbili nikaona bora nimalizie mchezo
 
kila binti nayekutana naye analazimisha nimle tigo,yaani nimechoka sasa!

hahahahaa, mkuu Chibolo umenikumbusha mbali sana. Back in days, niliwahi kukumbwa na mtihani kama huo. Nilitafakari kwa haraka sana then nikajua la kufanya. Siku izi wanatoa 'kabaaang' kama fasion vile
 
nimeshanga sana sio mara moja
kama juzi nimepiga goli moja na ndomu sasa naona m2 kashika ndonga
kaingiza kwenye uke kumuuliza vp mbona bila ndomu mpaka kuja kupata jibu
nishakita kama mikito kumi na mbili nikaona bora nimalizie
mchezo
hahaha unakuja kupata fahamu halftime alafu bado kipindi cha pili kinakusubiri
 
hv mabint hampendi kutumia kinga ni kawaida sana ukiwa na mwanamke wa leo ukimlainisha tu unaingiza ndonga na wala haulizi na hata kama akitumia basi ni siku ya kwanza

wanapenda 'utamu wote' kwanza! Majuto yeye huja baadae maana ni mjukuu
 
hv mabint hampendi kutumia kinga ni kawaida sana ukiwa na mwanamke wa leo ukimlainisha tu unaingiza ndonga na wala haulizi na hata kama akitumia basi ni siku ya kwanza
Kondom inatumika kama dharura tu (wala haizuii maambukizi kwa asilimia zote), labda uko safarini na umepata mwanamke, lakini iwapo ni mpenzi wako basi kondom haina kazi cha msingi ni kupima afya kabla ya ku-do..!!
 
hv mabint hampendi kutumia kinga ni kawaida sana ukiwa na mwanamke wa leo ukimlainisha tu unaingiza ndonga na wala haulizi na hata kama akitumia basi ni siku ya kwanza

kama yeye hataki... wala hakushawishi kutumia.. watch out!!!!!

take care of ya health brother!!
 
hv mabint hampendi kutumia kinga ni kawaida sana ukiwa na mwanamke wa leo ukimlainisha tu unaingiza ndonga na wala haulizi na hata kama akitumia basi ni siku ya kwanza

Halafu cha kushangaza kama ni mara ya kwanza ukimaliza ye ndo anaanza kukuuliza inakuwaje hatujatumia kondom as if yeye hakushiriki mchakato
 
Back
Top Bottom