Chai Maziwa
Member
- Jan 24, 2022
- 78
- 443
Habari wanaJF
Leo nakuja na swali.
Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa alikuwA akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo.
Ni kwamba kuna wanawake wa kuliwa na wengine wa kuolewa au mnaangalia mengneyo likija swala la kuchakata na mengneyo likija suala la kuoa?