[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata mimi napita kimyakimya Moneytalk atakuja kulijibu mkuu![emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usiombe uko bafuni harafu simu uisikie inaita na mkeo unajua ataenda kuisogelea,mambo huwa hivi[emoji116] View attachment 863246
HahahaaaUsiombe uko bafuni harafu simu uisikie inaita na mkeo unajua ataenda kuisogelea,mambo huwa hivi[emoji116] View attachment 863246
We ukitaka kufuatilia mambo ya mwanamke katika simu utachoka, utasikia shoga niliona....., au sweet acha tu mpenzi yaani aliniboa hapo anaongea na mwenzie wewe utasikiliza hadi utajikuta unaona upuuzi. Hafu kama unamchepuko unakutafuta mida ambayo upo kwako uache maramoja huo hauna adabu na ni mdangaji atakayekuletea fedheaMara nyingi wanawake kadhaa upenda kujua kila SMS au call inatoka kwa nani .. Ivo ivo kwa wanaume upenda kufatilia SMS au call .. Na mwisho mabishano yasiyo kuwa na tija na kusababisha migogoro
Wana madudu yao. Ila nadhani sio vizur kumfuatilia mume.Wanaume wengi walio oa wanapenda kuficha simu zao wawapo na wake zao nyumbani au popote wanapokuwa pamoja.
Wengi hudiriki hata kwenda nayo bafuni, wengine saa ya kulala hutoa sauti na kizificha.
Simu ikiita akiwa mbali nayo utaona speed atayotoka nayo kuikimbilia
Najiuliza hii ni kwanini ? Kama ni mchepuko kwann usiuambie usikupigie simu usiku?
Zinatulea kelele (vuvuzera) na minuno ndani ya nyumba.Wanaume wengi walio oa wanapenda kuficha simu zao wawapo na wake zao nyumbani au popote wanapokuwa pamoja.
Wengi hudiriki hata kwenda nayo bafuni, wengine saa ya kulala hutoa sauti na kizificha.
Simu ikiita akiwa mbali nayo utaona speed atayotoka nayo kuikimbilia
Najiuliza hii ni kwanini ? Kama ni mchepuko kwann usiuambie usikupigie simu usiku?
Ukitaka kuishi maisha marefu acha kufuatilia simu ya mume . Ikiita jifanye hujasikia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Balaa tupu ila kama mwenzi wako anachepuka utagundua tu kama wewe mjanja utajua mapema sana.Nina simu maalum ya michepuko na ina kitanda maalum katika gari haijawai ingia ndani hyo. Hii main ikiita unajua kama sio boss atakuwa mteja kama mama atakuwa sisster
Ukitaka kuishi maisha marefu acha kufuatilia simu ya mume . Ikiita jifanye hujasikia.