Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,729
- 1,325
Mungu kapanga hivyo na ndivyo ilivyo na motoni pia kutakua na wanawake wengi zaidi..kingine ile ratio ya 1:4 itatelezekaje
Umetisha aseeKuna sababu nyingi
1. probability ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko wa kiume, rejea mzunguko wa hedhi wa mwanamke
2. Watoto wa kiume chini ya miaka mitano wanakufa wengi zaidi kuliko wa ke
3. Wanaume wanafanya kazi ngumu na hatarishi kama za machimbo, bodaboda nk ambazo vifo ni nje nje
Hii kibokowanaume tumeumbwa mapeso utafiti unasema mimba nyingi zinazotoka ni za kiume kwaiyo wanaogopa kuja duniani kupata shida
Mungu yupi? Aliye sema tuoe wake 4Lazima iwe hivyo kwa kuwa mungu ni mmoja na amewaruhusu wanaume waoe mke 1-4,ingekuwa kinyume tungeamini huyu Allah ni muongo!Hingereni wote mnaomuamini Allah kuwa yy ndiye kila kitu!
Hyo oparesheni ilifanyika mpaka huku africa ama?watoto wa kiume wengi waliuwawa katika operation ya kumsaka yesu
Kwa kuongezeaKuna sababu nyingi
1. probability ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko wa kiume, rejea mzunguko wa hedhi wa mwanamke
2. Watoto wa kiume chini ya miaka mitano wanakufa wengi zaidi kuliko wa ke
3. Wanaume wanafanya kazi ngumu na hatarishi kama za machimbo, bodaboda nk ambazo vifo ni nje nje
Pia wanaume wengi ni majizi ña majambazi pia kwa hiyo vifo vingi huwakuta hukuKuna sababu nyingi
1. probability ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko wa kiume, rejea mzunguko wa hedhi wa mwanamke
2. Watoto wa kiume chini ya miaka mitano wanakufa wengi zaidi kuliko wa ke
3. Wanaume wanafanya kazi ngumu na hatarishi kama za machimbo, bodaboda nk ambazo vifo ni nje nje