Lazima iwe hivyo kwa kuwa mungu ni mmoja na amewaruhusu wanaume waoe mke 1-4,ingekuwa kinyume tungeamini huyu Allah ni muongo!Hingereni wote mnaomuamini Allah kuwa yy ndiye kila kitu!Rejea heading hapo juu
Ni kwnn watoto wa kike ni weng kulko wakiume
Hata kwenye safari maranyingi wanaume ndio huwa wengi, hivyo ajali ikitokea ni rahisi wao kufariki wengi.Kuna sababu nyingi
1. probability ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko wa kiume, rejea mzunguko wa hedhi wa mwanamke
2. Watoto wa kiume chini ya miaka mitano wanakufa wengi zaidi kuliko wa ke
3. Wanaume wanafanya kazi ngumu na hatarishi kama za machimbo, bodaboda nk ambazo vifo ni nje nje
Kuna sababu nyingi
1. probability ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko wa kiume, rejea mzunguko wa hedhi wa mwanamke
2. Watoto wa kiume chini ya miaka mitano wanakufa wengi zaidi kuliko wa ke
3. Wanaume wanafanya kazi ngumu na hatarishi kama za machimbo, bodaboda nk ambazo vifo ni nje nje
Hata kwenye safari maranyingi wanaume ndio huwa wengi, hivyo ajali ikitokea ni rahisi wao kufariki wengi.
Wanaume ndio wakuu wa familia,hivyo kila kitu kinawaangalia wao, pia wao ni watu wa kuweka sana vitu ndani(waweza hana furaha ila atajitahidi kuonyesha anayokumbe ndani anaungua) hivyo magonjwa kama pressure kwao ni njenje.
Hawa wanawake mbona wengi lakini mwanamke mmoja ana wapenzi wawili ama watatu? Ifike pahala wanaume tutafte wanawake ambao hawajawahi kuwa na mahusiano
Ebu funguka uelewekeKwasababu watu wengi wanafanya mapenzi ovyoovyo
Rejea process ya formation ya mtoto wa kiume na kike
Hawa wanawake mbona wengi lakini mwanamke mmoja ana wapenzi wawili ama watatu? Ifike pahala wanaume tutafte wanawake ambao hawajawahi kuwa na mahusiano