Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Utakuta mtu anaacha mtu mstaarabu na anaishia na mwanaume asiyekuwa na mwelekeo 'be show' na vurugu za hapa na pale. Kwanini huwa hivi?
 
Mara nyingi wastaarabu ni boaraz; mabazazi wanawafanya wadada wawe excited, wako creative n.k!

Wastaarabu are too serious, hawajui kuonesha (kufake) kuwa wanamuworship mdada kitu ambacho players ni expert!

Ila ukipata mstaarabu halafu ni mtundu, u r blessed!
 
Mara nyingi wastaarabu ni boaraz; mabazazi wanawafanya wadada wawe excited, wako creative n.k!

Wastaarabu are too serious, hawajui kuonesha (kufake) kuwa wanamuworship mdada kitu ambacho players ni expert!

Ila ukipata mstaarabu halafu ni mtundu, u r blessed!

hapa ndio panapo wapa advantage players....wanajua kufake na kusema na kuwa wanawake kile ambacho wanataka na kuwapumbaza kiasi cha kwamba wanashindwa gundua kuwa jamaa anataka K tuu.
 
Utakuta mtu anaacha mtu mstaarabu na anaishia na mwanaume asiyekuwa na mwelekeo be show na vurugu za hapa na pale

players wanajua nini mwanamke anataka, wanajua jinsi ya kumuhandle mpaka akajisikia yuko peponi, wanjua kuigiza hata kwa mwaka mzima bila kugundulika....
 
Wanaume wastaarabu mara nyingi hawajui mwanamke anataka nini.

Saa zote wapo serious na wanafikiri mapenzi ni kama jua kwamba asubuhi linatoka na jioni linazama. Wako too serious, Jamani nimekuwa kwenye mahusiano na mtu wa aina hiyo (mstaarabu) yaani anabore mpaka unajiuliza hivi huyu mtu anaishi dunia gani. Hana bashasha ya aina yoyote ya kumsisimua mwanamke. Kama baadhi wenye tabia kama hii mpo humu JF badilikeni, vinginevyo mtasalitiwa sana.

Players wanajua jinsi ya kumuhandle mwanamke na ndio maana mara zote wanafanikiwa.
 
Angeloos

labda kwa faida ya hao wastaarab, hao ma-players wana kua na vitu gani kwa mifano?? najua gels mnapenda kua na funny boys kwamba mnataka kua happy mda mwingi.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanapenda kubembelezwa, kuulizwa, kuonewa huruma, kupewa zawadi, yaani kwa ujumla tunapenda kuoneshwa kuwa tunapendwa tena wakati mwingine kwa vitu vidogovidogo kama nilivyovitaja.
 
Mpaka unaolewa na player maanake wewe ni winner...ameacha wangapi mpaka kukuchagua wewe? Lol.

Ukiolewa na mtakatifu utaonekana unatafuta rejectm, huna ubavu wa kushindana (kidding)
 
Utakuta mtu anaacha mtu mstaarabu na anaishia na mwanaume asiyekuwa na mwelekeo be show na vurugu za hapa na pale

hi natalia,am still waiting for that picture ya mercedes benz to be posted,do u remembre?
 
Ngoja nijibanze hapa hapa nisikilizie....naona wachangiaji wengi ni kinadada..
 
Ama kweli mjuvi utamjua tu........... teeh teeh teh!
 
Back
Top Bottom