Kwanini wanaume hawafanyi hivi?

Umetiririka mkuu, ni muhanga Nini?

Ila ndio maana lifespan ya ME ni ndogo mno kutokana na hayo mazaga zaga uliyoyaelezea.
 
Da
Umetiririka mkuu, ni muhanga Nini?

Ila ndio maana lifespan ya ME ni ndogo mno kutokana na hayo mazaga zaga uliyoyaelezea.
Daaaa! mkuu yaani, mwanaume akilegea tu akapata Limbwata part one Kwishnei! hasa hasa km familia ya nyumbani kwenu ulikotoka si watu wakulialia shida kwako, utaipata!

utakuwa wewe na yeye tu. source of income, kwani kwetu wanataka nini? Matunzo na mshahara tunaowalipa!,
 
Kama huna akili usioe wala usihangaike ktafuta mwanamke. Tumeambiwa tuishi nao kwa akili hawa viumbe.
 
imeandikwa......mwanamke atakuwa na wivu na mmewe(mwanaume)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…