Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Mmemegana na binti kwa mara ya kwanza, hujatumia kondom.
Muda wote wote wa tukio anatoa ushirikiano ile mbaya,
mkimaliza shughuli ndio anauliza "Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.
Muda wote wote wa tukio anatoa ushirikiano ile mbaya,
mkimaliza shughuli ndio anauliza "Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.