cheupedawa_
Member
- Aug 12, 2019
- 20
- 16
- Thread starter
- #21
nimeshafika njoo unizabeMtoa mada ungekuwa karibu yangu ningekuzaba vibao vya kutosha
nimeshafika njoo unizabeMtoa mada ungekuwa karibu yangu ningekuzaba vibao vya kutosha
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.
Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?
Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?
Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.
Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
Wakati ule nilikuwa nalima mahindi na kuyauza mabichi. Kwa siku niliuza hadi mahindi 700. Hali ilishuka hadi mahindi 70 tu na mwisho ikawa kuuza ni kubahatisha. Nimeacha hiyo biashara.
Kusema kila anayefilisika alikuwa fisadi ni ujinga na kukosa maarifa. Muhimu nj mufikiri cha kufanya
hata zama za maisha bora kwa kila mtanzania(JK regime) malalamiko yalikuwa hayahaya tofauti ni kwamba untouchable wamekuwa touchable sasa wanarukaruka kama bisi maana hawakuzoea haya mambo.
KANYAGA TWENDE AWAMU YA TANO.
mtaani huku kuna mama lishe kibao wamefunga biashara hakuna watejaNimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.
Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?
Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?
Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.
Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
Acheni ujinga bwana.Acheni ujinga bwana!
Nchi nzima walikua vigogo?
Acheni hii stupid narrative!
Hali ni mbaya na uchumi ni mbovu kabisa sababu ya bad decisions!
huyu sio mwanamke ni mwanamme ,Eti Dada una boyfriend? Mimi nakutaka
Dada cheupedawa nisikilize kidogo . Jamaa yako almost nusu ya watu hawakumchagua 2015. Na hawawezi kumpenda overnight . Afanye kazi na wananchi watampima na ikiwezekana watampenda.Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.
Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?
Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?
Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.
Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
Acheni ujinga bwana.
Nchi nzima wanalalamika?
Acheni hii stupid narrative!
Utaelewa tu CCM ni ile ile hajawahi badilika Wala haita badilika wezi na wanaolalamika ni hao hao tuujaeleweka bado
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu sasa, hili kundi la watu wachache wanaopigia kelele utendaji wa serikali ya awamu tano, nikagundua kuwa wengi wao ni wale walipata kuwa vigogo kwa muda mrefu ndani ya chama tawala na serikali katika awamu zilizopita ambao tayari walikuwa wameshasimika mizizi yao katika mkondo wa upigaji, na wengine ni watoto wa vigogo hao au ndugu zao wa karibu walioathirika na maboresho ya mfumo mpya.
Najiuliza wakati wananchi wengi wanyonge walipokuwa wakilalamikia ugumu wa maisha, na kuomba mabadiliko makubwa ya kiuongozi serikalini hawa watu walikuwa wapi? Mbona hawakupiga kelele kama wanavyofanya sasa, wakati wanyonge wengi wakiwa wameridhika na nama serikali hii inavyoendeshwa?
Je, wakati rushwa ikiwa imetamalaki, huduma za msingi za kijamii kama vile afya zikiwa zinatolewa zaidi kwa walionacho; hawa wanaojiita Wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wapi? Je, kupata huduma bora za afya na huduma nyinginezo za kijamii si mambo yanayowahusu?
Tukumbuke vurugu zote za uchaguzi wa 2015 zilitokana na kile kilichodaiwa kuwa ni watu kuchoshwa na ugumu wa maisha, rushwa iliyokithiri na mengineyo, ambayo kwa awamu hii yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa; kipindi hicho wanaolalamika sasa walikaa kimya, na hawakuona kuwa hali hiyo ilihitaji kuisemea.
Tuliolalamikia mfumo uliopita, tujikumbushe tuliomba tupate nini kutoka kwa Rais ajaye, na kama tumekipata au laa; na tuwapuuze wanaotaka kutuvuruga.
Waache hii stupid narrative!
Wanataka kuhamisha incompetence yao ya kufanya uchumi usiwe mzuri kwamba ni kosa letu sisi wananchi na wala sio wao!
Ni kosa letu sisi wananchi milioni 60 sababu zamani ya JK tulikua mafisadi!
Majinga haya!
Kwa hiyo hali ya maisha ya wanyonge ni nzuri sana awamu hii? maisha yamekuwa bora kwa mtanzania? Kipato cha mtanzania kumekua? Biashara zimeshamiri? Ajira zipo kila kona eeeehh au ndo unajitoa ufahamu kama huoni hali halisi inavyitisha mtaani
haijaanza leo na haitokwisha kesho.Haya yamezidi!
Na kibaya zaidi mnasema uongo!
Eti wananchi mil60 tulikua majambazi ndio maana tunalalamika!
Unafiki kabisa!
Mkuu volume ya hela imeisha kwenye mzunguko!
Watu vipato vimepungua!
Hali sio nzuri kabisa!
Halafu mnakuja hapa na uongo eti tulikua majambazi???
Really?
Matak@ yenu vich@@ nyie!
haijaanza leo na haitokwisha kesho.
hata mkimpa mbowe leo hahhahahhahahhahah japo haiwezi kutokea kamwe
tatizo lenu lingine kubwa kila mtu kageuka kuwa statician....inasikitisha sana.Soma statistics ndugu yangu!
Acha kuongea kwa mazoea!