Kwanini wanaojiua wengi wao hawanywi Pombe?

Kwanini wanaojiua wengi wao hawanywi Pombe?

Weitaaa mletee mtoa mada Safari ya moto...safari moja huanzisha nyingine
 
Ni kweli kabisa,ulabu,bangi vinatoa sana stress na kukuhamisha ktk sayari nyingine hata kama huna cent utajiona wewe ni bilionea kama Warren Buffet,viva ze pombe and viva ze bangi.

Pombe inakupa solution ambayo kiuhalisia huna, kama hizo stress zinatokana na ukosefu wa fedha, asubuhi unaanzia sifuri maana hata ile moja uliokuwa nayo jana umetumia kwenye ulevi ambao haujakusaidia chochote zaidi ya kurundika tatizo na kulisogeza mbele deadline ikiwa imefifia...
 
Aaaah gambe inaondoa stress zoote.Hadi raha.Faida ya mnywa pombe haumizi kichwa dhidi ya mambo yaliyomzidia.Ss kama haunywi daa muda wote ni kuwaza mpaka unajinyonga.
 
Walevi wengi hawana muda wa kufikiri kwani huwa wamelewa. Wanaojiua huwa sober ndio maana wanajiua. Mlevi atajiua na yeye anajiona hana tatizo na kiingereza anajua?
 
Walevi wengi hawana muda wa kufikiri kwani huwa wamelewa. Wanaojiua huwa sober ndio maana wanajiua. Mlevi atajiua na yeye anajiona hana tatizo na kiingereza anajua?

Kwanza ni wabinafsi Wa mawazo, kutokana na hili wanapokuwa na shida udhania wao ndio Wa kwanza kupata shida hiyo, hivyo kimbilio ni kujiua. Walevi wakishalewa Mara nyingi uwa open na mambo yao na hujikuta wakipewa mawazo na kugundua Sio wapo Wa kwanza Kuwa na tatizo hili.
 
Back
Top Bottom