Kwanini wanandoa wengi hawapo "romantic"?

Wanawake ni mashetani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza
 
shukrani mkuu
 
pole mkuu
 
PONGEZI KWAKO MKUU
 
Ukweli ni kuwa asilimia 90% za ndoa nyingi hazina upendo wa kweli,
Wengi wameowana kwa sababu flani flani za maisha ila si mapenzi!
 
Anyway, marriage is an art. Lazima awepo mwenye ubunifu kati yenu ili mambo yaende kama mlivyokusudia.

“Lazima awepo mwenye ubunifu kati yenu ili mambo yaende kama mlivyokusudia”.

Umeongea madini sana nimekubaliana nawe ila hitimisho lako sio suluhisho, hiyo ya ‘ubunifu’ wa mmoja ndio huleta kukinai kwa kukosa ushindani.... huyo mmoja ambaye ‘si mbunifu’ mwanzo alikuwa mbunifu na akichepuka anasifiwa kwa ubunifu.
 
unashauri vipi
Tukishaoana tunatakiwa kwenda sawa na mahitaj ya kila mmoja maana kama tutabak vile km tulivo tutachokana na hvo kuanza kutafuta substitute nje so ni muhimu kuwa mbunifu ili kufanya ndoa iwe paradiso ndogo km maneno matakatifu yasemavyo
 
Ubunifu si kwenye mapenzi tu, kwa kila jambo, mfano, malezi, imani, kukwepa kulipizana nk. Inatakiwa nyote muwe wabunifu ila ni ngumu kutokea ndo maana anabaki mbuñifu mmoja ambaye dhamira yake ni kulinda ndoa idumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kikubwa ni kuzoeana mnapokua ndani ya Ndoa hata ambao hawajaoana wakaishi kinyumba tu unakuta mapenzi yanakua hayapo tena.

Mnapokaa nyumba moja na kulala chumba kitanda kimoja kuna hali ya kuzoeana na kila mmoja anamchukulia mwenzie wa kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukishaoana tunatakiwa kwenda sawa na mahitaj ya kila mmoja maana kama tutabak vile km tulivo tutachokana na hvo kuanza kutafuta substitute nje so ni muhimu kuwa mbunifu ili kufanya ndoa iwe paradiso ndogo km maneno matakatifu yasemavyo
nimekupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…