Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
Habari za leo wana JF,
Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?
KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?
Niende moja kwa moja kwenye hoja hii yenye kuhitaji majibu sahihi. Nimekuwa nikiwaza sana kwamba tangu vita dhidi ya madawa ya kulevya iliyoanzishwa na RC Makonda ambayo imeamsha moto hata katika nchi JIRANI, lakini wanachadema wako KINYUME KABISA(They are against to ).
Hali hiyo inaniachia maswali mengi sana, mfano:
∆ Sijui wao ni watumiaji?
∆ Sijui wao ni wauzaji?
∆ Sijui viongozi wao wanahusika kwenye kusambaza au kuuza au kusafirisha?
∆ Sijui wafadhili wao ni wauza madawa?
KWANINI CHADEMA KISIMAME KINYUME NA HII VITA DHIDI YA MIHADARATI?