Nyani Ngabu leta takwimu
Tulia mkuu ,hebu wacha papara kwanza,Nadhani sina la kukupinga kwa unayo yasema. Nimaanishacho ni kuwa :- waache unafiki.
Unajua, watu weusi(Marekani) kujifanya kuthamini maisha ya mtu mweusi mwingine pale anapo uawa na mtu mweupe ni unafiki wa hali ya juu. Ikiwa wao kwa wao huuana kwa wingi mno.
Kwa nini hawathamini maisha yao, hata wawe wanauana kwa wingi, achilia mbali suala la kuuawa na law enforcers.
Waanze kwa kupaza sauti mauaji ya wao kwa wao nami ndipo nita waunga mkono wanapo paza sauti za mauaji yatokanayo na law enforcers.
Mahaba niue mkuu ,si unajua mapenzi hupofushaUmesahau kwamba hao polisi kazi yao si kuua mtu, wanatakiwa kuwa-protect, haijalishi kama wee ni mweusi au mweupe. Kama polisi anashindwa kuku protect what should you do? unachukua matters in your own hands.
Kuna watu na mijitu,sasa hili ni jitu mkuu wala sio mtu.Wakati mwingine huwa siwaelewi binadamu, eti kwakuwa weusi wanauana wao kwa wao katika mambo yao, mantiki inatwambia jamii ikiwamo polisi wajitazame upya ili kukomesha mauaji hayo badala yake wapuuzi wanajenga hoja ya kuhalalisha mauaji ya wasio na hatia, kwakuwa weusi wanauana solution waueni wote
tunatakiwa kulaani ubaguzi wa rangi au dini kwa nguvu zote kwani hukumu zinazowafika wahanga waubaguzi huo siyo halali yao kwa namna yoyote
Sasa wewe si lil wayne upo huko, unatuulizaje sisi TanzaniaWa salaam wanajamvi.
Swali langu ni hili: Kwanini wamarekani weusi hulalamika wanapo kojolewa na wamarekani weupe, Ikiwa wao wenyewe hunyeana?
Hivi punde kumetokea mauaji ya kijana mweusi huko marekani yaliyofanywa na afisa wa polisi (ambaye ni mzungu) . Na kila mtu analijua hilo. Ila cha kushangaza zaidi ni pale tunaona watu wengi weusi kutoka pande mbalimbali za ulimwengu wakilaani tukio hilo.
Mbona haya manung'uniko hayashiki hatamu pale wamarekani weusi wanapo uana wao kwa wao.?
Hivi mnajua kuwa vifo vinavyotokana na mauaji ya watu weusi(wenyewe kwa wenyewe kuchomana "Visu" & "Risasi") ni vingi kuliko vile vinavyotokana na mauaji na watu weupe(wazungu kuua watu weusiy)?
Kwa nini kifo kinacho sababishwa na mzungu kionekane kina mzizi wa "Ubaguzi wa Rangi".?
Ninawaomba wamarekani" weusi" wapunguze kuendekenda ubaguzi wa rangi. Waamini kuwa kufa kwa mmarekani mweusi hakusababishwi na ubaguzi wa watu "weupe" bali ni mitazamo yao isiyo sahihi, pia wazingatie maisha ya watu weusi yaliyoangamia kutokana na watu weusi.
Kama kweli wanamaanisha wanaposema #BlackLivesMatter, basi waniksikie nisemavyo, huenda wakanielewa kabla hakuja kuchwa.
YMCMB Headquarters.
punguza mihemko, mtoa mada anahoji kwa nini blacks wanauana sana wao kwa wao na wala hawana care kwa human life ikija kwa black-black situation ila akiuawa na mzungu ndio wanajifanya ku care kuhusu life lao?Kuna watu na mijitu,sasa hili ni jitu mkuu wala sio mtu.
Wakati wenzake wanatumia cerebral cortices kufikiri ,yy analazimisha kutumia medulla oblongata na pons kufanya reasoning ,matokeo ndio haya.
Halafu hawa ndio wanaotufanyaq tutukanwe na wakina trump,maana akisoma post kama ya mtoa mada,ahitimishe nn tena..!!??
Nami nauliza hv:- kwa nini wazungu wanauana wenyewe kwa wenyewe ,tena wengi tu lakini hakuna anayebweka ila ikitokea wao kuawa na waarabu huwa mnabweka mpaka mikia inawasimama, maana juzi tu mlibandika bendera ya ufaransa kwenye fb dp zenu, au mmeashau ...!!??punguza mihemko, mtoa mada anahoji kwa nini blacks wanauana sana wao kwa wao na wala hawana care kwa human life ikija kwa black-black situation ila akiuawa na mzungu ndio wanajifanya ku care kuhusu life lao?
mada nzuri sana hii
Nami nauliza hv:- kwa nini wazungu wanauana wenyewe kwa wenyewe ,tena wengi tu lakini hakuna anayebweka ila ikitokea wao kuawa na waarabu huwa mnabweka mpaka mikia inawasimama, maana juzi tu mlibandika bendera ya ufaransa kwenye fb dp zenu, au mmeashau ...!!??
Hebu jibu hilo halafu tuendelee
unamzungumzia nani sasa? hizo ishu ni wazungu wana value maisha yao, wanatumia media zao kutangaza hilo tuki na kuilaani hadi wana influence na waafrika kuomboleza kwa nguvu wazungu wawili lakini sio waafrika 200Nami nauliza hv:- kwa nini wazungu wanauana wenyewe kwa wenyewe ,tena wengi tu lakini hakuna anayebweka ila ikitokea wao kuawa na waarabu huwa mnabweka mpaka mikia inawasimama, maana juzi tu mlibandika bendera ya ufaransa kwenye fb dp zenu, au mmeashau ...!!??
Hebu jibu hilo halafu tuendelee