Msekwa baada ya kushindwa uspika akawa makamu wa m/kiti bara.Nape aliposhindwa kura za maoni ubunge akawa mwenezi Taifa.Mangula aliposhindwa mwenyekiti Iringa kapewa makamu CCM bara.Rose Migiro aliposhindwa ukatibu UN kalamba cheo CCM.Bendera Joel kapewa ukuu wa mkoa