Kwanini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani hawafungi macho?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
875
4,101
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
 
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Hebu weka kapicha tuone walinzi wakikodoa
 
Hebu weka kapicha tuone walinzi wakikodoa
images (2).jpeg
images (1).jpeg
 
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Hivi hii ya kufunga macho wakati wa kuomba imetokea wapi?
Maana ukisoma bible huoni mahali imetajwa.
 
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Bila shaka hata wewe. Mlikuwa mnatazamana badala ya kusali nyinyi ni hatari sana.
 
Na kama muislam wakiwa msikiti wana swali,wanainama kusujudu au? (mwenye picha wakiwa msikitini )
 
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Kumbuka yeye Kaka kazini hajaja ibadani .akiwa off au Maisha binafsi atafumba macho na kupiga MAGOTI ipasavyo
 
Piga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Fita ni fita mura
 
Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?

Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Sasa umesha andika WALINZI, unataka tukusaidie nini tena? au unafikiri unaweza kulinda huku umefunga macho?
 
Piga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Ndo kwanza baraka anaongezewa
c4.jpeg
 
Kwenye biblia kunq mstali umeandikwa, aombae akiwa amefumba macho lebgo lake ni potofu.
 
Back
Top Bottom