Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,166
- 3,259
Sio simple hiviChukua fomu chama kingine jaza, peleka kwa afisa utumishe....utahama.
Sio simple hiviChukua fomu chama kingine jaza, peleka kwa afisa utumishe....utahama.
CWT si ni CCM tu ...Halmashauri nyingi wanalazimisha walimu wengi kuingia CWT wakati kuna vyama vingine ambavyo vimesajiliwa kisheria ila hawataki walimu tujiunge
Hivi ni haki walimu tusiwe huru kuchagua vyama tunavyotaka?
Kwanini wengi tunalazimishwa kuingia CWT?
Inafika wakati mwalimu unasaini mkataba ila wameshaanza kukata michango yao, hili swala linakera sana.
Wenye uzoefu wa hiki chama watusaidie.
Hiki chama kina msaada gani kwa walimu hasa?
Sawa ni ngumu na ni ngumu sana haiwezekani, tulia hapo cwt.Sio simple hivi
Mimi salange sio mwalimuSawa ni ngumu na ni ngumu sana haiwezekani, tulia hapo cwt.
Tena makubwa mnoooo! 2% kwa kazi gani haswa wanayoifanya🙆♂️🙆♂️Sio wanaona ni makubwa, kiukweli ni makubwa mnooo sasa 2% ya kazi gani???
CWT ni project ya mamlakaHalmashauri nyingi wanalazimisha walimu wengi kuingia CWT wakati kuna vyama vingine ambavyo vimesajiliwa kisheria ila hawataki walimu tujiunge
Hivi ni haki walimu tusiwe huru kuchagua vyama tunavyotaka?
Kwanini wengi tunalazimishwa kuingia CWT?
Inafika wakati mwalimu unasaini mkataba ila wameshaanza kukata michango yao, hili swala linakera sana.
Wenye uzoefu wa hiki chama watusaidie.
Hiki chama kina msaada gani kwa walimu hasa?
Labda shida iko halmashauri yako. Mie niliondolewa siwitii same day niliyopeleka fomu kwa afisa utumishi.Sio simple hivi
Kweli kabisa.CWT ni project ya mamlaka
Nyingi mnoooTena makubwa mnoooo! 2% kwa kazi gani haswa wanayoifanya🙆♂️🙆♂️
madai uya watu kurudishwa kinguvu ni madai halali mkuu -- yategemea upo wapiSawa ni ngumu na ni ngumu sana haiwezekani, tulia hapo cwt.