Halmashauri nyingi wanalazimisha walimu wengi kuingia CWT wakati kuna vyama vingine ambavyo vimesajiliwa kisheria ila hawataki walimu tujiunge
Hivi ni haki walimu tusiwe huru kuchagua vyama tunavyotaka?
Kwanini wengi tunalazimishwa kuingia CWT?
Inafika wakati mwalimu unasaini mkataba ila wameshaanza kukata michango yao, hili swala linakera sana.
Wenye uzoefu wa hiki chama watusaidie.
Hiki chama kina msaada gani kwa walimu hasa?
Hivi ni haki walimu tusiwe huru kuchagua vyama tunavyotaka?
Kwanini wengi tunalazimishwa kuingia CWT?
Inafika wakati mwalimu unasaini mkataba ila wameshaanza kukata michango yao, hili swala linakera sana.
Wenye uzoefu wa hiki chama watusaidie.
Hiki chama kina msaada gani kwa walimu hasa?