Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,365
- 8,631
Wakuu kuna anayejua chanzo kilicho pelekea wakoloni kuitwa mabeberu? Naomba mnipe maelezo ya kina maana binafsi sijaelewa mpaka sasa.
vi
Halafu kutwa kucha yuko Ulaya kuomba misaada! Trump kutamka neno moja tu shitholes bila hata kutaja nchi dunia yote ya wajinga ikalipuka kwa hasira - death to America! Jamaa ni wavumilivu sana.Nadhani ni matusi tu ya Nyerere.