Kwanini Wakenya wengi humsifia Rais Dkt. John Magufuli?

Kwa akili hiyo hiyo mmewazidi hata US kwa ukuaji wa uchumi, mwaka 2019 uchumi wa US ulikua kwa 2.3%.

Pia kwa akili hiyo hiyo mtoto wa miaka miwili anarefuka haraka kuliko mzee mwenye miaka 70.

Elimu ya Tanzania ni shida tupu.
Kwa elimu ya SACCOS ya Mbowe- RATE ya 6.8% ni ndogo kuliko RATE ya 2.3%
Hata World Bank hawafikii elimu ya SACCOS yetu.
 
Kwa elimu ya SACCOS ya Mbowe- RATE ya 6.8% ni ndogo kuliko RATE ya 2.3%
Hata World Bank hawafikii elimu ya SACCOS yetu.
Rate ya TZ ni 6.8%, maji tu ya kunywa hakuna, wakati US rate ya 2.3% ndio wanakupa wewe dawa za ARV bure.

Nenda kajifunze uchumi kwanza.
 
Hivi mada ni ya kiwe
Tunamsifia kwa sababu Kikewete alitupatia wakati mgumu maana uchumi wa Tanzania ulikuwa kwa Kasi, Ajira kwa Sana, mishahara ya wafanyakazi ilipanda kila mwaka. Lakini huyu mliyenaye kwa Sasa Ni maneno matupu na sifa tu hakuna anachokifanya. Hivyo Basi Kenya itaendelea kuwa juu kiuchumi kwa nchi za Africa mashariki. Magufuli juu.
Hivi mada ni ya kiwete au Magufuli kwa nini wakenya wengi humsifia? Kama unamlinganisha kikwete na JPM tuletee data kikwete alitumia bilioni ngapi za kusafiri nje na alitumia bilioni ngapi za kutuletea magumashi wale Sullivan, alitapanya bilioni ngapi za bunge la katiba ili muradi alitaka eti awe ameacha legacy kwamba ametuachia katiba mpya watu walilipwa hata wana mipasho looo.
Kuna wakenya wachache kama Lumumba wanaelewa uzalendo wa JPM ndio maana akaonyesha kwamba Kenya haina urafiki na Tanzania kama leo wanaagiza mahindi kutoka Mexico wakati Tanzania yamejaa hiyo ni kuonyesha chuki tu.
 
Mtoa mada kauliza swali zuri tu,lakini naona ni matusi na kashfa za kutosha zinatolewa.
Raia wa nchi zote za East Africa wanafurahia utendaji wa Magufuli.Magufuli kafanya mageuzi makubwa sana ya kiuongozi na usimamizi wa maswala yote yahusuyo nchi yetu.
 
Ujinga,

Mishahara ambayo ilikuwa ni lazima akope Kwa kina lostam Azizi ndio ulipwe wewe ndio unaoa ilikuwa serikali ya maana?

Sijui tu, Kama ingeendelea hiyo Hali miaka kumi ijayo, mngelazimika viwanja Vyote vya ndege, Mbuga za wanyama ingelazimu zishikwe na kina Lostam na wakopeshaji wengine wa serikal ili kulipa madeni ambayo yasingelipika, maana hata ukusanyaji wa Kodi ilikuwa ni wa hovyo tu, wale waliotakiwa walipe Kodi ndio hao waliokuwa wakikopesha serikali ili ilipe mishahara!!? Wangelipaje Kodi sasa hao?

utaratibu wa kulipa madeni ilikuwa ni hovyo, ni Hadi ukakope mahali hiyo pesa ndio ikalipe deni lingine, Halafu unasema ilikuwa ni Nzuri, Punguza mahaba kijana
Porojo na udaku
 
Mkuu Kenya tayari tumeiacha katika ukuaji wa uchumi! mwaka jana Bongo uchumi ulikua kwa 6.8 na Kenya 5.7!! mkuu tafuta data another time!!

Sasa bro kama una laki moja uchumi wako ukapanda kwa 6.8 na huyu ana laki mbili uchumi wake ukapanda kwa 5.7 nani yupo juu? Mbona shilingi yao ina thamani kuliko yetu? Ukilinganisha na dola?
 
Back
Top Bottom