Kwanini wake zetu hawatuamkii asubuhi?

Kwanini wake zetu hawatuamkii asubuhi?

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,033
Tanzania kumpa MTU salama ya shikamoo ni heshima kubwa sana
Hata watoto wadogo wanafundishwa kutoa salamu ya shikamoo kwa wakubwa..

Jambo la kushangaza sana ni pale hawa wake zetu ambao wengi tumewazidi umri.,na walikuwa wanatoa salamu za kuamkia b4 kuanza mahusiano.

Ila shikamoo uisha faster mkianza kudate,wapo wanaoendeleza ila wachache sana.

Hapa kwangu nimeuliza kwann haunipi salamu yangu jibu nililopewa ci mchezo..
Ananiambia ukitaka nikuamkie acha kunivua........

Wanamama embu tuambieni kwann lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom