Kwanini wake za watu hawapendi kutumia Condom?

Hii sasa ni hatari, hivi nini kinachoendelea katika hii jamii?

Hivi ni kwanini wanawake walio kwenye ndoa wanapoamua kutoka nje ya ndoa hawapendi kutumia kinga wakati wa kufanya zinaa?

Ni kwanini hawahurumii uhai wao?
Pindi anapoamua kutoka nje ya ndoa tu ni kwamba ameshaacha kujihurumia, nini kutumia kinga?
 
Wenye ndoa wakiguswa kidogo tu na ka u-kweli wanavyowakaa!! NDOA oyeeeee!!
 
asemalo mtego wa noti ni kweli kabisa na pia research inaonyesha hivyo (centre for aids research in africa based at univerzity of pretoria) hii ni falacy kubwa sana eti kwamba mwanandoa akiyoka nje atatumia condom...ukweli ni kwamba mwanandoa ambae ana cheat ndio mgumu kutumia ndom. yeye alisha zoea kuipata kitu orijino sasa ukitumia ndom anaona kama anacheza tuu so kuna sababu gani ya kucheat kama utamu waupata nusu nusu...na kweli ata tumia ndomu mara moja au mbili baada ya hapo anakupa live tuu kuwa nipe utamu asilia. so uaijidanganye kabisa kuwa wanajilinda...tbe worse thing u cn do is have an afcair qith a married person. na ndio hii inaeleza y maambukizi mengi yapo kwa wanandoa
 
Pindi anapoamua kutoka nje ya ndoa tu ni kwamba ameshaacha kujihurumia, nini kutumia kinga?



Hayo madudu ya kondomu wala hawayajazoea hao wenye ndoa,

sasa ya nini kujipa shida na mamipira hayo?

mazoea yana tabu wandugu lol....
 
Huo ni ukweli ingawa nadhan wanawake wengi wanashida katika maamuzi ya kutumia zana, most of them watangoja mwanaume atafanya nini, wachache sana wenye msimamo kwenye zana!
 
asemalo mtego wa noti ni kweli kabisa na pia research inaonyesha hivyo (centre for aids research in africa based at univerzity of pretoria) hii ni falacy kubwa sana eti kwamba mwanandoa akiyoka nje atatumia condom...ukweli ni kwamba mwanandoa ambae ana cheat ndio mgumu kutumia ndom. yeye alisha zoea kuipata kitu orijino sasa ukitumia ndom anaona kama anacheza tuu so kuna sababu gani ya kucheat kama utamu waupata nusu nusu...na kweli ata tumia ndomu mara moja au mbili baada ya hapo anakupa live tuu kuwa nipe utamu asilia. so uaijidanganye kabisa kuwa wanajilinda...tbe worse thing u cn do is have an afcair qith a married person. na ndio hii inaeleza y maambukizi mengi yapo kwa wanandoa
Hivi matumizi ya condom yanasababisha utamu nusu nusu?
Kazi yote ya HIV campaigns iliyofanywa nchi hii bado kuna watu wanasema condom use ni utamu nusunusu??
 
Mtego wa Noti, wewe umejuaje jambo hili

Kama ni mharibifu wa wake za watu nakuamuru uache mara moja tabia hiyo

Itakufikisha pabaya sana
 
Last edited by a moderator:
huwezi sema mdaa hii bila kuwa na takwimu japo kidogo.

Nilifanya risechi ya maambukizi ya ukimwi katika maeneo ya wavuvi, kulikuwa na malalamiko mengi kuwa wanamme hawataki kutumia ndomu.

Wakati mwingine huzitoboa au kuzikata kwa mbele na hutishia kutotoa pesa iwapo ndomu itatumika.

Wanawake waliohusika wengi walikuwa almost wanaojiuza hata kama wameolewa.

Kitakwimu, miaka kadhaa ilionyesha kwamba wanaoongoza kwa kuwa na ukimwi kimakundi ni walio katika ndoa. Inaaminika kwamba 50% ya walioambukizwa HIV Tanzania ni wale walio katika ndoa. Kwa hiyo kwa kile kilichoelezwa kwamba they prefer no condoms this could justify the situation.
Again, some years back Chief Goverment Chemist Laboratories alitoa data kwamba specimen zinazopelekwa ili kujua baba wa mtoto ni nani zilionyesha kwamba 50% ya specimen zilizopelekwa zilionyesha kinababa walibambikiwa watoto si wao.May be hyo,ndio sababu kubwa,kujivinjari nje ya ndoa bila kutumia kinga.
 
Hapo red kilichoathiri ni sampling technique
Naweza sema ilikuwa purposely but hakika haikuwa random sampling
So huwezi sema wanamme wa kitanzania 50% wanabambikwa watoto maana waliopimwa ni wale kwa namna moja au nyingine walikuwa wanataka kuhakiki kama ni wababa halali.

Ndio maana kila research lazima useme methodology, wana maana yao kuweka hivi maana ukutumia sample zingine majibu yanaweza kuwa opposite ya haya.

Kuhusu kuongoza kwa maambukizi ya ukomwi kwa walio kwenye ndoa siwezi sema sana
But, hivi watu wazima wenye umri wa kuwa na ndoa, wapi wengi, walio kwenye ndoa au wasio na ndoa??

Kitakwimu, miaka kadhaa ilionyesha kwamba wanaoongoza kwa kuwa na ukimwi kimakundi ni walio katika ndoa. Inaaminika kwamba 50% ya walioambukizwa HIV Tanzania ni wale walio katika ndoa. Kwa hiyo kwa kile kilichoelezwa kwamba they prefer no condoms this could justify the situation.
Again, some years back Chief Goverment Chemist Laboratories alitoa data kwamba specimen zinazopelekwa ili kujua baba wa mtoto ni nani zilionyesha kwamba 50% ya specimen zilizopelekwa zilionyesha kinababa walibambikiwa watoto si wao.May be hyo,ndio sababu kubwa,kujivinjari nje ya ndoa bila kutumia kinga.
 
Haya bana,ninapiga jaramba nioe lakini hali halisi inanivuta shati,hata huyo wa kumuoa simjui,kazi ipo,sijui nitampata wapi?
 
wale wote waliokwisha ambukizwa, hawana haja ya kutumia kinga. Wakinge nini wakati walikwisha nasa?????? kama yalikupata, basi fahamu alikuwa tayari kanasa.
 
kuna picha ilikuwepo kwenye jukwaa la picha mtu amekatwa halafu akalishwa yakikutokea usilie maana inaonekana ni fundi sana wa hiyo kazi kwa wake za watu shaurilo.
 
Hapo red kilichoathiri ni sampling technique..Naweza sema ilikuwa purposely but hakika haikuwa random sampling..So huwezi sema wanamme wa kitanzania 50% wanabambikwa watoto maana waliopimwa ni wale kwa namna moja au nyingine walikuwa wanataka kuhakiki kama ni wababa halali.

Nadhani umeamua kumbishia tu Tram Almasi ..manake alichosema ni hiki ''50% ya specimen zilizopelekwa zilionyesha kinababa walibambikiwa watoto si wao''..
 
Last edited by a moderator:
mtoa mada u have tangible point and its true, sema hapa kila kitu hupondwa bila kufikilia kuwa aliyokutana nayo khamis ni tofauti alokutana nayo john katika haya maisha.

Always truth stands no matter what...anachosema jamaa ni kweli kabsaaa ila anashindwa kuweka data...kwa upande wangu 3 out of 3 married women i fu#$%%cked around used no protection. Hii kitaalamu inamaanisha 100% ya sample yangu haitumii ndomu.

Unachokisema ni kweli mkuu..wengi wanapenda sana KAVU nafikiri ni kutokana na mazoea waliyonayo ndani ya ndoa zao

kwa hiyo we hujawahi ku-do na mke w mtu?...believe me or not...hawapendi zana...once upon a tyme zana iliniishia nikdhani atasema basi lkn ndionikaona anarukia muhogo tena kwa shangw na nderemo...ina maanisha nini iyo?...na siyo huyo tu...wengine nawagomea...

Naona wazinzi crew camp inatoa ushuhuda lol
 
Nadhani umeamua kumbishia tu Tram Almasi ..manake alichosema ni hiki ''50% ya specimen zilizopelekwa zilionyesha kinababa walibambikiwa watoto si wao''..

Asante Snowball, naona Kongosho hakusoma vizuri what i wrote. Ni kweli that was purposive sampling na nimesema kwamba kwa specimen walizopelekewa na sijatoa generalized statement kwamba hyo ni representative sample ya the male population in the country.
 
Last edited by a moderator:
mtego wa noti,kanuni kuu ya mwanamke anayetoka nje ya ndoa ni KUSHEA MATATIZO YAKE NA MME WAKE NA WEWE!mara nyingi mwanamke anatoka nje ya ndoa pale tu anapokuwa ktk matatizo na mmewe so wewe unayetoka nae UNATUMIKA!

kwa hiyo ni ktk kugawana tu matatizo na wewe,kama mmewe anatoka nje anadhani kama mmewe kamletea kirusi agawane na wewe Mtego wa noti uliyeamua kulala nae!
 
nilichokuwa napinga, ni TA kutaka kujustify kuwa, 50% ya akina baba kutokuwa wazazi halali wa watoto inaonesha jinsi gani wanawake wanafanya ngono zembe nje ya ndoa zao.

Anashindwa kuona kuwa tayari hadi kufikia hatua ya kwenda kupima DNA tayari kunakuwa na utata.

Sampling technique ina effect kwenye matokeo ya research.

Nadhani umeamua kumbishia tu Tram Almasi ..manake alichosema ni hiki ''50% ya specimen zilizopelekwa zilionyesha kinababa walibambikiwa watoto si wao''..
 
Last edited by a moderator:
Kuna kundi ambalo hutoka nje ya ndoa kutokana na pressure iliyopo ndani ya ndoa kwamba mwanamke hazai! Kwa hyo ili kujua km ni yeye au mwanamme mwenye matatizo basi anaamua kutafuta mtu bila kukwambia dhumuni lake ni nini. Katika hali kama hyo usitegemee kwamba atahitaji kutumia kinga. Na anapofanya hivyo ni kutokana na maudhi na machungu ya kulaumiwa na mume au mawifi kwa hyo anatoka kwa hasira kwamba 'liwalo na liwe,wao si wanataka mtoto? Ngoja niwatafutie basi!'. Kwa hyo sio kwamba hawajui walifanyalo,wanajua lakini wanataka pia kuzilinda ndoa zao.
Kwa hyo wale waliokutana na wanawake wa aina hyo na wakawaridhia hebu fuatilieni mtakuta watoto wanaofanana na nyie bhana!
 
Back
Top Bottom