Wewe wee weee thubutu yaan mke au mume wa Rais asilindwe???
Mmhhh nakuambia ivi itakua ni patashika nguo kuchanika
Hapatashikika wala kukalika
Unaambiwa Dunia nzima itashangaa sanaaa
Nchi itasimamaaa kwa ujumla
Unaambiwa hata CDF anaweza kupigwa chini
Kwa sababu Mke au Mume wa Rais asipolindwa, Atachepuka sana yaan..nasema uongo ndugu zangu