Kwanini waislam wengi wanataka rais ajaye atoke Zanzibar?

Status
Not open for further replies.
Mimi ni Mkristo, tena naona ni jambo jema Rais kutoka upande wa pili wa Muungano. Lakini hiyo kwa sasa haiwezekani mpaka hapo Serikali ya Tanganyika itakaporudishwa. Kwa hiyo wakati wa kuandika Katiba mpya ni vema suala la serikali ya Tanganyika likaangaliwa kwa umakini ili kuwatendea haki wazanzibar. Hapa si suala la udini ni kurudisha serikali ya Tanganyika. Iwapo rais atatoka Zanzibar, basi Tanganyika itakuwa kama enzi hizo tulivyokuwa tunatawaliwa na governor wa Kiingereza(mkoloni)
 
Huo utafiti umeufanyaje?mimi naona unataka kuchangamsha genge tu wewe mtu.Hebu tutolee unafiki wako hapa na kupenda kwako malumbano ya kidini!Muislam gani wa bara kakwambia anataka rais atoke zanzibar?Hovyo kabisa wewe!!!
 
Hapa lazima Serikali ya Tanganyika irejeshwe kwanza tutakapo tunajadili katiba mpya ndipo tuongelee suala la Rais wa Jamhuri kutoka Zanzibar. Ama sivyo haiwezekani watanganyika watakuwa watumwa katika nchi yao.
 
Wazenji walidhani wajanja sana walipobadilisha katiba yao na sasa kuwa nchi kamili. Ninavyoona mm, Rais akitoka Zanzibar kuongoza muungano, Watanganyika watakuwa wanaongozwa na foreiner aka TX. kwa sababu moja rahisi sana. Kwa sasa ZNZB ni nchi kamili yenye mipaka yake kwa mujibu wa katiba yao ya sasa. Wanapenda sana mambo yanayowabeba wao lakini wao wanalalia sana na wanakuwa wakali sana wanapodhani kuna ki2 tofauti
 
Ndugu zangu wadau wote, mkitaka kujua ajenda muhimu juu ukweli huu sikilizeni maoni yanayotolewa na waislam katika majadiliano mbalimbali katika radio iman - Morogoro. Ajenda eti ni kuuondoa mfumo wa kikristo ndani ya serikali na kuingiza mfumo wa kiislam. Kwa maoni ya redio hii eti si kweli kuwa serikali haina dini bali dini yake ni ukristo!
 
Ukweli uliojificha ni kuwa wapo baadhi ya waislamu na hata katika vikao vya siri wanasema wanataka watawawale miaka 20 kupambana na mfumo krisito na kujiweka zaidi katika nafasi nyeti. Mkakati huu unaungwa mkono na wengi vigogo wa upande huo na inaonyesha kuwa huku bara ni ngumu kumpata muislamu kwa mazoea ya kubadilishana ugombea hivo njia pekee ya kumpata mgombea atakaye tekeleza haya lazima iingie hoja ya mgombea zamu ya zanzniba kwa sababu ni ngumu kumpata mgombea atakayeungwa mkono zanzibar ikiwa hatakuwa muislamu. Mkakati huu uiltengezwa mwanza na bahati nzuri taarifa zikatoka nje.

Watanzania tuwe makini sana na mtego huu na ndo maana kuna taarifa kuwa hata baadhi ya watu wamebadili dini ili ikishindikana mpango huo wa atoke Zanzibar basi atoke bara lkn ni mtu ambaye yupo kwenye mbio za uraisi lkn amelazimishwa kubadili dini. Tuache ndugu zangu masuala ya udini tuangalie hali iliyopo Nigeria boko haram
 
Ukweli uliojificha ni kuwa wapo baadhi ya waislamu na hata katika vikao vya siri wanasema wanataka watawawale miaka 20 kupambana na mfumo krisito na kujiweka zaidi katika nafasi nyeti. Mkakati huu unaungwa mkono na wengi vigogo wa upande huo na inaonyesha kuwa huku bara ni ngumu kumpata muislamu kwa mazoea ya kubadilishana ugombea hivo njia pekee ya kumpata mgombea atakaye tekeleza haya lazima iingie hoja ya mgombea zamu ya zanzniba kwa sababu ni ngumu kumpata mgombea atakayeungwa mkono zanzibar ikiwa hatakuwa muislamu. Mkakati huu uiltengezwa mwanza na bahati nzuri taarifa zikatoka nje.

Watanzania tuwe makini sana na mtego huu na ndo maana kuna taarifa kuwa hata baadhi ya watu wamebadili dini ili ikishindikana mpango huo wa atoke Zanzibar basi atoke bara lkn ni mtu ambaye yupo kwenye mbio za uraisi lkn amelazimishwa kubadili dini. Tuache ndugu zangu masuala ya udini tuangalie hali iliyopo Nigeria boko haram

Peleka takataka yako mbona mnakuwa waoga nani kawaambia bado kuna mfumo wa kubadilishana? hiyo imeshakufa raisi ataendelea kuchaguliwa kutoka Tanganyika
 
Udini! Udini! Udini! Udini! Udini! udini! Udini! Hivi udini ni upupu gani huu hata ukiwagusa watu ni lazima wawashwe na kujikuna? Swali lilikuwa ni Zanzibar kutoa mgombea urais 2015 (Si lazima ashinde na kuwa Rais) lakini kichombezo cha "waislamu wengi" kikawekwa ili iwe nini? Tatizo letu wengine hata uislam wenyewe hatujui, badala yake tunauchanganya na wavaa Barghashia na kanzu mfuto!! Tunadhani kila Juma, Mohamed. Nasri, Tareq ni muislamu.
 
Turudi kwenye swali kuwa kwanini waislamu wengi wanataka rais atoke Zanzibar? hii imekuwa ni kampeni yakinifu na madhubuti kwa ndugu zetu waislamu kuhakikisha wanakaa ikulu kwa miaka 20 wao hawaangailii uongozi wa nchi bali wanaangalia mtu wa imani yao kuwa ikulu ni jambo jema na tukufu awe ni kiongozi bora au mbovu ili mradi ni muislamu yeye ni bora kuliko mkristo.

Kwasababu wanajua viongozi wote mashuhuri Zanzibar wenye nafasi ya kupata urais ni waislamu kwahiyo wanapiga chagizo kufanya kampeni ili waislamu waendelee kutawala kwa miaka mingine 10, ningependa kusema nafasi ya Zanzibar ilikuwa 2005 lakini wazanzibar walishirikiana na wanamtandao kummaliza Salim Ahemrd Salim kipenzi cha wengi na kiongozi madhubuti matokeo yake tukapata kiraka cha kiongozi Jakaya Kikwete ambaye kwa uwezo wake alitakiwa andelee kuwa waziri au katibu wa CCM aendelee kufanya blabla na sio kuongoza nchi.
 
Kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara!

wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..


point less ni obvious atakuwa muisilamu umewahi ona mkristo rais kule! chance ya kuwa muisilam ni kubwa zaidi gday
 
wakuu udini wa nini?Na je tunataka kusahau kwamba sisi sote ni Watanzania?iSote ni watanzania na dini zetu zisije kamwe zikatufanya tubaguane;kumbukeni udini na ukabila saratani ya ustawi wa taifa lolote!
 
Sisi waafrika tutambue kwamba hizi dini tulizonazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya bara letu. Amini usiamini hawakutuletea dini hizi ili tufike mbinguni. Ni ujinga uliotukuka kupokea utaratibu wa maisha wa kiimani(dini) kutoka kwa wageni halafu ukajiona umepatia na kumtenga ndugu yako aliyechukua utaratibu tofauti na wako.


PERFECT! Wao wametulia, sisi tunapambana kulinda maslahi ya vitu ambavyo si vyetu. Wakoloni wawe waaarabu ama wazungu daima hawana jema kwetu, ni sisi wenyewe kujipaanga na kusema NO TO ARABS, NO TO EUROPEANS AND BIG NO TO THEIR RELIGIONS!
 
Sisi waafrika tutambue kwamba hizi dini tulizonazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya bara letu. Amini usiamini hawakutuletea dini hizi ili tufike mbinguni. Ni ujinga uliotukuka kupokea utaratibu wa maisha wa kiimani(dini) kutoka kwa wageni halafu ukajiona umepatia na kumtenga ndugu yako aliyechukua utaratibu tofauti na wako.

Mkuu utengano tunautaka wenyewe, yakitokea mabaya hata hutoona tukimbilie huko tunakoona tunasaaidiwa ama tunafanya kutetea maslahi yao, ndiyo maana utaona mara zote wasioelewa ndio waathirika wakubwa.
 
Kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara! wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..
Hahahahahahahahahahahahaha usinichekeshe. Haki yao ipi wanayoitaka. Hata wenyewe ukiwauliza hawajui wanataka nini. Halafu hiyo biashara ya uraisi wa rotation wala hatuitaki. Haiwezekani ka Zanzibar kenye watu million 1 tu katuchagulie raisi watu Million 45. To hell with Zanzibar
 
Kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara!

wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..

Zamu ya wazanzibar ilikuwa 2005 na karibia kila mtu alijua mgombea urais kupitia CCM ni Salim Ahmed Salim lakini Kikwete na genge lake la wezi akina Lowassa, Rostam, Chenge, Nchimbi na wengine wakaanza kampeni kwa kusema hakuna sehemu yeyote kwenye katiba ya Tanzania isemayo kuwa rais akiwa wa upande mmoja wa Muungano akamaliza muda wake basi rais anayefuata lazima atoke upande mwingine wa Muungano.

Nyerere aliwahi kusema mtu anayekimbilia Ikulu ni wa kuogopa kama ugonjwa wa ukoma sasa tumeona matokeo yake Kikwete alikuwa anautaka urais kwa udi na uvumba sio kwa ajili ya kuwatumikia watanzania bali kwa ajili ya kuonyesha watu kuwa "mmeona" na mimi nimekuwa rais wa Tanzania maana alivuruga kwanza utaratibu kisha katumia pesa nyingi yeye na genge lake la wezi kuhakikisha wanapata urais kwa sababu alitumia njia chafu serikali yake ndiyo yenye migogoro mingi kuliko serikali yoyote iliowahi kutawala Tanzania. Kwa sasa Zanzibar hawana lao wamlaumu mpenda madaraka asiye na uwezo wa kuongoza Kikwete maana ndio aliwadhulumu nafasi yao mwaka 2005
 
nadhan kuna jambo moja lazima lieleweke wazi, lazima ajaye lazima awe mkristo, weza anotoka bara au zanzibar, sasa cjui kama zenji kuna mkristo mwanasiasa, tunabadilishana kwa dini, muislam then mkristo si vinginevyo chance ya kuwa na rais from zenji ilikua kabla kikwete hajashinda so they have to wait for another 10 yrs itapokuja chance ya kuwa na rais muislam hata ccm watafanya kosa watalojutia wakichagua mgombea muislam!
 
Peleka takataka yako mbona mnakuwa waoga nani kawaambia bado kuna mfumo wa kubadilishana? hiyo imeshakufa raisi ataendelea kuchaguliwa kutoka Tanganyika

Peleka upumbavu wako wewe ambaye unamungunya maneno na kuwa mnafiki kwa sababu ni kuwadi wa ujinga! Sisi wenzio tunazo taarifa ya mkakati huo ambao najua utafeli. Tunataka kiongozi mzuri lakini si atakayepelekeshwa na kupangiwa ya kufanya na BAKWATA, TEC, CCT. Baadhi ya waislamu siyo wote ni waumini wa ujinga huu wa udini na ndo maana kipindi hiki ajira, udahili wa wanachuo maeneo kama UDOM unafanywa kufuata misingi hiyo. Kwa taarifa kama we ni mfaidiji wa mfumo wa kijinga kama huu endelea lkn dini hizi zimeletwa tu ili kuwawezesha wakoloni kutugawa na kututawala kifikra na kugombanisha. Hivyo wewe ni takataka zaidi kwa sababu hujitambui na hutambui utu wetu kuwa udini ni ukicha amabo tukiundekeza tutasambaratika.
 
sidhani kama waisalamu wanataka hivyo
bali baadhi ya wazanzibari wenye uchu na tamaa ya madaraka
wanataka kupandikiza mawazo hayo ili ukifika wakati iwe rahisi kwao kujipenyeza
 
Mi nafikiri hoja si waislam...Zanzibar wana haki ya kupata nafasi kuliongoza taifa la Tanzania..kinacholeta shaka ni kudharaulina tuu ndilo ,mashaka..Tukija kwenye sera za udini basi hata urais ingekuwa Rais dini hii na makamu dini hii...hivi kikwete angemteua waziri mkuu mwislam japo kwa nia njema..si mngeenda ikulu kwa miguu....???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom