Kwanini waislam wengi wanataka rais ajaye atoke Zanzibar?

Status
Not open for further replies.
Hivi waislaam tumewakosea nini dunia Yarabi... Kila uendako kampeni ni za kuwadhalilisha waislaaam hii Islamaphobia itawaisha lini...Mbona mimi najua wakristu wanataka rais ajaye awe Mkristu na baadhi ya makanisa wameisha anza kampeni na hatusemi maana ni haki yao wao kupendekeza mtu wanayemwona anawafaa..

Sio ndivyo tulivyogawana tabaka za kijamii kwamba nchi yetu haina dini isipokuwa wananchi wake ndio wana Dini, sasa mnacholia lia hapa nini wakati tupo ktk demokrasia. Waache wamtake Muislaam na wewe pinga mtake Mkristu maana tumeisha fika huko na Udini.. Badala ya watu kukaa na kufikiria kwa nini watu tunafikiri kwa masaburi kutwa hamuishi kwenda misikitini kusikiliza hotuba ili mpate kuandika lakini ya kanisani hamuyaandiki..

Na kwa mtaji huu sidhani kama Chadema itafanya vizuri mwaka 2015 kwa sababu mnazidi kukijenga chama kuwa cha kidini makosa yale yale waliyoyafanya CUF kabla ya uchaguzi wa mwaka 2005..Maana kila MwanaChadema hapa anafikiriaZanzibar ni ya Waislaam na bara ya Wakristu mnajiponza wenyewe wakuu zangu. Chadema jipangeni kupenyeza Zanzibar na sio kulalama na watu mbona mmejaza wabunge ndani ya chama Wachungaji watu hatusemi na sisi wengine bado tunawapa support?..Acheni Udini kutafuta wachawi, wakati wachawi ni nyie wenyewe...
 
Mimi naona ni haki kabisa rais ajae atoke zanzibar,udini uko wapi hapo?kwani tanganyika tuliungana na zanzibar ili tuwatawale?wazanzibar hata msikubali rais ajaye ni lazima atoke kwenu,tulio na nia ya dhati na muungano tutawaunga mkono.kwenye katiba mpya ijayo lazima kiingizwe kipengele cha kubadilishana uongozi ktk nafasi ya rais.tena zanzibar wanatakiwa wadai vipindi vitatu zaidi kwani nyerere alitawala miaka 23,mkapa 10 na kikwete 10,jumla hapo ni miaka 43 na zbar wametawala miaka 10 tu,hivyo wanadai miaka 33 zaidi waliotawala watanganyika nao watawale. kwahiyo watanganyika nasi tutulie wazanzibar wapozi magogoni.
 
Mimi naona ni haki kabisa rais ajae atoke zanzibar,udini uko wapi hapo?kwani tanganyika tuliungana na zanzibar ili tuwatawale?wazanzibar hata msikubali rais ajaye ni lazima atoke kwenu,tulio na nia ya dhati na muungano tutawaunga mkono.kwenye katiba mpya ijayo lazima kiingizwe kipengele cha kubadilishana uongozi ktk nafasi ya rais.tena zanzibar wanatakiwa wadai vipindi vitatu zaidi kwani nyerere alitawala miaka 23,mkapa 10 na kikwete 10,jumla hapo ni miaka 43 na zbar wametawala miaka 10 tu,hivyo wanadai miaka 33 zaidi waliotawala watanganyika nao watawale. kwahiyo watanganyika nasi tutulie wazanzibar wapozi magogoni.
Na mtanganyika atapozi lini Kibandamaiti?
 
Haya premium member!
Mkuu wangu tunachoka sasa na mkiendelea sisi wengine tutaanza kurusha mabomu dhidi ya Chadema maana tunayajua na tunaweza kuweka doa vilevile..Hivi mambo ya siasa lazima muwataje waislaam? waislam hivi waislam vile kutwa matusi hayaishi yaani mnafikiri sisi hatuna hisia ama wanyama tuloumbwa bila kufikiria....

Nyie endeleeni kampeni zetu sijui Wanajamii na FoS huku mkieneza siasa za kujitenga maana mlianza vizuri sasa naona mnaingia nyumba za watu kupitia dirishani.. Tutakamatana uchawi. Katiba yenyewe bado haijafafanua ngazi hii ya uchaguzi zaidi ya kuendekeza mfumo uliopita. majuzi tu CUF na CCM wameunda muafaka wa kupokeza uongozi, msiyaone hayo isipokuwa waisllaam sasa kama sheria inasema hivyo wananchi wataacha vipi kufikiria hivyo?.. eeeh nambieni nyie mnaojiita wasomi.

Kwa nini Rais akiwa mgombea wa bara lazima makamu atoke Zanzibar! why? ikiwa mnajua Zanzibar ni ya Waislaam..kwani wao hawataki mgombea urais atoke Zanzibar na makamu ndiye atoke bara!.... shule gani mlizosoma hata mnajipachika Usomi kumbe unafiki mtupu mmejaa Udini na mahubiri ya Ivenjeliko..
 
Kwanza nadhani udini ndio greatest motive behind that. no question that is extra clear. na haitakuwa hivyo kwani wao pia wana nchi yao. Mbona hamsemi kuwa sasa ni zamu ya Mtanganyika kutawala Za Inzi Bar ?
 
Mkuu wangu tunachoka sasa na mkiendelea sisi wengine tutaanza kurusha mabomu dhidi ya Chadema maana tunayajua na tunaweza kuweka doa vilevile..Hivi mambo ya siasa lazima muwataje waislaam? waislam hivi waislam vile kutwa matusi hayaishi yaani mnafikiri sisi hatuna hisia ama wanyama tuloumbwa bila kufikiria....

Nyie endeleeni kampeni zetu sijui Wanajamii na FoS huku mkieneza siasa za kujitenga maana mlianza vizuri sasa naona mnaingia nyumba za watu kupitia dirishani.. Tutakamatana uchawi. Katiba yenyewe bado haijafafanua ngazi hii ya uchaguzi zaidi ya kuendekeza mfumo uliopita. majuzi tu CUF na CCM wameunda muafaka wa kupokeza uongozi, msiyaone hayo isipokuwa waisllaam sasa kama sheria inasema hivyo wananchi wataacha vipi kufikiria hivyo?.. eeeh nambieni nyie mnaojiita wasomi.

Kwa nini Rais akiwa mgombea wa bara lazima makumu atoke Zanzibar? why ikiwa mnajua Zanzibar ni ya waislaam..kwani wao hawataki mgombea urais atoke zanzibar na makamu ndiye atoke bara!.... shule gani mlizosoma hata mnajipachika wasomi kumbe unafiki mtupu mmejaa Udini na mahubiri ya Ivenjeliko..

Mkandara,

Sasa tofauti yako wewe na yule aliyewasema Waislamu hapo juu ni nini? Mahubiri ya Ivenjeliko yanahusiana vipi na hii mada? Na unaposema Zanzibar ni ya Waislam una maana gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom