Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,123
- 15,654
Elimu Elimu ElimuHata nyie wenyewe mlishindo kumchinja mkaamua kumuua, unachinjaje forrbbiden animal !? Ni jinsi gani msivyo na akili
Elimu Elimu ElimuHata nyie wenyewe mlishindo kumchinja mkaamua kumuua, unachinjaje forrbbiden animal !? Ni jinsi gani msivyo na akili
mkuu kama hujui sie waislamu wanaume wengi wetu hatuko interested na hiyo ahadi ya mabikra, sie Mungu (sw ) kutuletea Mtume (saw) hiyo ni zawadi tosha ambayo hatuwezi kuibadili na chochote hata kama tutaenda peponi tusikute hao mabikra sie kumuamini Mungu tu imetoshaMkuu na wanawake wameahidiwa kulipwa fadhila zipi? wanaume wangapi? Mungu Mwingi wa upendo na amani hawezi kuweka Ngono kuwa kipaumbele cha kumpa mwanadamu bwana acha kujidanganya hapo wamebug nadhani. Soma how Catholic created Islam only ayatollahs hide the fact on their hands.
Forrbbiden ndio nini?Hata nyie wenyewe mlishindo kumchinja mkaamua kumuua, unachinjaje forrbbiden animal !? Ni jinsi gani msivyo na akili
Hapa mpaka mwake, hata reference za vitabu watapata.Nafurahi sana mkuu unapotoa comments zilizoshiba Facts n vivid examples.
Ukiwaambia hayo yote hawataweza kubisha kwasababu wao hawana references za kupinga hizi, wataishia kubwabwaja.
Ukristo na Uislamu ni ujinga ule ule tu, tofauti labda kw anje umepakwa rangi tofauti.Me nashangaaga tu pale nnapoona mapovu ya wakristo na chuki kwa waislamu sipati majibu wakati kila mtu ana dini yake na lengo ni kuabudu baada ya kila mmoja kutimiza lengo lake wanaanza chuki na chokochko kwa wengine tunaenda mbali kweli Mungu tusamehe waja wako
Kitabu kinasemaje, mabwana wangapi?Watapewa mabwana
Duuuh,,,,, kitimoto msimu huu haziuziki kabisa sijui ni kwanin???Hivi wakichinja mbuzi katoliki huangalia huko pia?
Maana wengi ni walaji
Ewe Ustaadhat..!Me nashangaaga tu pale nnapoona mapovu ya wakristo na chuki kwa waislamu sipati majibu wakati kila mtu ana dini yake na lengo ni kuabudu baada ya kila mmoja kutimiza lengo lake wanaanza chuki na chokochko kwa wengine tunaenda mbali kweli Mungu tusamehe waja wako
Sishangai kwasababu kila nyuzi nnayoiona humu ni maneno machafu kutoka kwa wakristo kwa waislmu japo waislamu nao wanajibu ila kianzio kinatoka pande ya pili niliwahi kuona comment moja mmoja anakiita kitabu cha waislamu kinyesi duh mbali hukuEwe Ustaadhat..!
Ni kwanini usishangae chuki iliyopo kwa waislam dhidi ya wakristo?
Karibu,
Amri hii ya kuamrishwa wailamu kuelekeza nyuso zao sehemu flani haijaanza sasa tokea manabii waliopita nao waliamrishwa hivyoHabari za muda huu? Ninaomba kufahamishwa ni kwa sababu gani waislamu uelekea kibra muda wa kusali au kuchinja?
Nini maana ya Kibra na kuna ulazima wa kuelekea kibra,?
Naamini Mungu yupo upande wowote, je ukisali bila kuangalia kibra sala na dua zako hazitafika?
Au Mungu anapatikana kibra? Na kama sivyo kuna nini Kibra mpaka muda wa kusali Waislaam wasujudu kuelekea kibra?
Nawasilisha.
Hahaha.Muhamadi sio mtume. SOMA HAYA HIZI. Mwenyewe umejifanyia mambo hata yakakufika hayo, nasi tunakutuma kwa watu ukawa mtume kwao. Upande mwingine kitabu kinasema Mungu ni mmoja na hana mshilika. SWALI. Je? Ni kina nani hao waliomtuma akawe mtume?.(maana sio Mungu,Mungu hana mshilika wakujadiliana nae). Na walikuwa wapi wakikubaliana kumtuma?. Neno (NASI TUNAKUTUMA) liko katika wingi yani hakuwa mmoja!.. maoni yangu hawa walikuwa ni watu wekifanya mambo.
rudi shule tena kajifunze maana ya pronoun "WE"Muhamadi sio mtume. SOMA HAYA HIZI. Mwenyewe umejifanyia mambo hata yakakufika hayo, nasi tunakutuma kwa watu ukawa mtume kwao. Upande mwingine kitabu kinasema Mungu ni mmoja na hana mshilika. SWALI. Je? Ni kina nani hao waliomtuma akawe mtume?.(maana sio Mungu,Mungu hana mshilika wakujadiliana nae). Na walikuwa wapi wakikubaliana kumtuma?. Neno (NASI TUNAKUTUMA) liko katika wingi yani hakuwa mmoja!.. maoni yangu hawa walikuwa ni watu wekifanya mambo.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa wote atoe kitabu cha dini yake kwa watu wamoja na lugha moja tu na kiwe na utata katika tafsiri wakati aliweza kukiweka kitabu hicho kichwani mwa kila mmoja kwa lugha yake na kisihitaji tafsiri wala utata?rudi shule tena kajifunze maana ya pronoun "WE"
sio unataka kuichambua quran wakati hata vitabu vya shakespeare ukiletewa vitakushinda
quran ni maji marefu mkuu kaa chini ufundishwe
Hapa sijaelewa popote utakapokua duniani kaskazini kwako ndo kibrah?lilipo lile pazia jeusi?Waislamu ulimwengu mzima huwa tusali kuelekea kibla kwa sababu huko kibla ndio kwnye Al KAABA na ndio kati kati ya dunia...kuelekea kibla ni amri kutoka kwa ALLAH mlezi wa viumbe vyote....
Usishangae sisi kusali kuelekea kibla ILA mjishangae nyie mnaosali ibada zenu ambazo hakuna nabii hata mmoja alie sali kwa style zenu leo