Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Tafuta kinyago chako ukiabuduKekereeenkede....niache mapambio ya Rose mhando ili nikashike Madufu kupigia Kaswida, si ndio bwn sheikh?
Tafuta kinyago chako ukiabuduKekereeenkede....niache mapambio ya Rose mhando ili nikashike Madufu kupigia Kaswida, si ndio bwn sheikh?
Hapana...mimi KAFIR sifurahii ila nashangazwa na Wanaouhusudu ndio maana nikauliza yakhee...Kwahiyo kafiri unafurahia hizo tabia !? Kuna quality zinazomfanya mtu kuwa Imam, fundi baiskeli hawezi kuwa Mkandarasi
Nijibu ndugu Muumi'nin Madufu nitayapata wapi nianze na Kaswida Mujarab?Tafuta kinyago chako ukiabudu
Changanya matako ukojoe ukalale..
Huku umeitwa?
Kafuturu hukoo
Mkuu na wanawake wameahidiwa kulipwa fadhila zipi? wanaume wangapi? Mungu Mwingi wa upendo na amani hawezi kuweka Ngono kuwa kipaumbele cha kumpa mwanadamu bwana acha kujidanganya hapo wamebug nadhani. Soma how Catholic created Islam only ayatollahs hide the fact on their hands.mkuu wewe ni wa ajabu kama unapinga hilo jambo!!
Binadamu wote iwe unaamini katika dini au huamini utakubali kwamba kwetu sie wanaume Mungu kutuumbia wanawake ni neema kubwa,
na hilo la wanawake wa peponi ni dogo tu katika zawadi alizotuandalia M/Mungu neema zilizopo peponi zisikie hivi hivi tu mkuu jicho halijapata kuona wala sikio halijapata kusikia
NI KWELI KABISASi kweli. Jua huchomoza mashariki.
Ukiwa Japan Kibra ni Magharibi.
Ukiwa Japan unaangalia Kibra Magharibi, linapozamia jua, si Mashariki linapochomozea jua.
Kibra ipo Mecca.
Habari ya Waislamu kuelekea kibra ni utumwa wa kisaikolojia. Waarabu wamewashika akili Waislamu wote kwamba hapa kwetu ndipo patakatifu, huko kwenu machafuchafu, kwa hiyo mkitaka kuswali, mkitaka kuchinja, mkitaka kuhiji lazima muangalie kwetu.
Ni utumwa wa kiutamaduni tu.
Kwa style ipi?
Kwani ninyi mnapopanda magari na kwenda kuabudu ni nabii yupi alishafanya hivyo? Si mpande punda kama Mudy?
Na wakati wa kufuturu mfuturu kwa tende na maji pekee kama mtume Mudy na maswahaba wake akina Othman na Abou Sufian, sio tambi, uji wa pilipili manga, mihogo n.k
Sawa sheikh?
mkuu hauna hoja naona maswali yako mengi ni matusi na kujifanya unaujua zaidi uislamu kuliko waislamu wenyewe, mie nakuona kituko na mpumbavuKekereeenkede....niache mapambio ya Rose mhando ili nikashike Madufu kupigia Kaswida, si ndio bwn sheikh?
Swali zuri,Hivi wakichinja mbuzi katoliki huangalia huko pia?
Maana wengi ni walaji
Kwanini unataka niwe na hoja wakati hoja imeshaletwa na mleta mada?mkuu hauna hoja naona maswali yako mengi ni matusi na kujifanya unaujua zaidi uislamu kuliko waislamu wenyewe, mie nakuona kituko na mpumbavu
jitahidi uwe unaficha upumbavu wako watu hapa wanakucheka kimya kimya
Watapewa mabwanaNimeskia zaidi ya maramoja kuwa PEPONI watatoa Wanawake tena wasiopungua 40 Mabikra. Hivi Mungu akupe Ngono kuwa ndio kitulizo baada ya Kumwabudu! je kwa wanawake wao watapewa nini?
Wametengeneza dini nzuri kisha wakaipa Waislam, wao wakaamua kuchonga masanamu na kumuomba mamake mungu Maria awaombee ! ...pathetic creaturesMkuu na wanawake wameahidiwa kulipwa fadhila zipi? wanaume wangapi? Mungu Mwingi wa upendo na amani hawezi kuweka Ngono kuwa kipaumbele cha kumpa mwanadamu bwana acha kujidanganya hapo wamebug nadhani. Soma how Catholic created Islam only ayatollahs hide the fact on their hands.
Akikujibu unambieMkuu povu la nini sasa,jaribu kujibu hoja bas kwa faida ya wengine..Huenda uka tu convince tuka silim.
Elijah Muhammad, kiongozi wa kundi la Waislamu wa Marekani "Nation of Islam" alikorofishana na mashehe wakubwa wa Sunni. Wakawa wanampiga mkwala kwamba uislamu anaohubiri unakiuka Uislamu wa kweli.NI KWELI KABISA
Ni siku ya pili ya juma.Uliza maana ya Sunday ndo utajua ni nani anaabudu mungu jua
Kajikojolee hukoo masjidONA SASA, MLEVI MWINGINE KAANZA KUWALAZIMISHA WENZIE KUFUTURU!
Hata nyie wenyewe mlishindo kumchinja mkaamua kumuua, unachinjaje forrbbiden animal !? Ni jinsi gani msivyo na akiliHivi wakichinja mbuzi katoliki huangalia huko pia?
Maana wengi ni walaji
Nafurahi sana mkuu unapotoa comments zilizoshiba Facts n vivid examples.Elijah Muhammad, kiongozi wa kundi la Waislamu wa Marekani "Nation of Islam" alikorofishana na mashehe wakubwa wa Sunni. Wakawa wanampiga mkwala kwamba uislamu anaohubiri unakiuka Uislamu wa kweli.
Akawavimbia, akasema mimi siwapangii kwenu na mimi msinipangie kwangu.
Na mkitaka kunipangia kwangu, msikiti wangu mkubwa uko Chicago, nitawaambia Waislamu wa Nation of Islam wote waswali huku wakielekea Chicago tujiondoe na habari za kuelekea Mecca.
Wakamuona huyu kadata, wakamuacha.