Kijana Wa Makamo
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 212
- 116
Salam wanajamvi. Moja kwa moja kwenye mada, kwa sababu kuna hili jambo ambalo linazidi sana kukithiri nchini Tanzania hasa kwa wahitimu wa shahada ya kwanza. Wahitimu ambao wamepata shahada kwa asilimia kubwa hawana ajira na hii ni kutokana na ukweli kwamba swala la ajira katika nchi zinazo endelea ni changamoto.
Hivyo basi kumekuwa na tabia ya wahitimu wengi kukaa vijiweni au la kugeuka kuwa watu wa kushinda katika vijiwe vya kidigitali (social medias). Je, kuna haja ya kuangalia upya elimu yetu ya juu kwa mapana yake yote?. Hata humu JF kuna wahitimu wanadiriki sema wanajuta muda waliopoteza vyuoni.
Swali, Je! Elimu yetu imeshindwa kuwasaidia hawa wahitimu au ni ignorance yao tu?.
Nawasilisha.
Hivyo basi kumekuwa na tabia ya wahitimu wengi kukaa vijiweni au la kugeuka kuwa watu wa kushinda katika vijiwe vya kidigitali (social medias). Je, kuna haja ya kuangalia upya elimu yetu ya juu kwa mapana yake yote?. Hata humu JF kuna wahitimu wanadiriki sema wanajuta muda waliopoteza vyuoni.
Swali, Je! Elimu yetu imeshindwa kuwasaidia hawa wahitimu au ni ignorance yao tu?.
Nawasilisha.