[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ww Unayo Minene Au??[emoji28]Hamna chochote mizinga haina miguu myembamba wala minene
Ya wastani inayonitosha mwenyewe aya cheka vzrWw Unayo Minene Au??[emoji28]
Sicheki, Nakuja Pm!![emoji125] [emoji124]Ya wastani inayonitosha mwenyewe aya cheka vzr
Kuna Binadamu Ambae Mungu Amuoni??[emoji45]Ha ha mtawaua jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kunakipindi Wanaume walikuwa wanapenda wadada weupe, basi watoto wa Watu wakajichubua mpaka basi, story ikachenji kwenye "chura" na kila mtoto wa kike akafanya juu chini ili aipate hiyo chura ata kwa Dr. Mkombozi. Gafla upepo ukachenji Vijana wakasema wanataka model. Ha ha saiv at model wanapiga vizinga[emoji1] [emoji1] . Nyie wanaume shauri yanu mungu anawaona
Basi tu kaamua naye aweke thread yake hapo! Maana suala la mwanamke kupiga mizinga sio la maumbile wala la kufanyia utafiti. Karibia ataleta utafiti wa kuwepo kwa silaha za kivita lugalounataka kusema wanawake wakichaga wanapiga sana mizinga?
Na tamaa zakeNilishawah Date Nao Kma Wawil Hivi, Sikuiona Hii Tabia....Hata Kwa Wenye Miguu Iliojazia....Pia Sikuiona!! Nachoona Ni Tabia Za Mtu Tuu!!!
Hao n Eat and Run cz miguu yao ipo Fast sanaBaada ya kufanya uchunguzi na kuwahoji vijana takribani 50, nimebaini wasichana wenye miguu myembamba wana tabia ya kuomba hela mara 50 zaidi ya wale wenye miguu minene, yaani ukiwa na dada mwenye miguu myembamba a.k.a Ngoko a.k.a mironjo ni vizuri ukaanza na harakati za kumuomba boss wako akupandishie mshahara.
Wataalam wa mahusiano hii imekaaje?