Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Utumwa wa fikra.
SitamchukiaAFYA dhaifu? So mwanao akiwa na afya dhaifu utamchukia
Mkuu kwa hiyo na wewe umeshawazalia vitoto vyeupe?Kwa hyo sie Mashombe madame wengi wanapenda tuwazalie mababy.. et mkuu
Ndo nataka nianze kuwazalia mkuu maana hapa kitaani kuna manzi yangu mmoja anamaind sana kuzaa na mmMkuu kwa hiyo na wewe umeshawazalia vitoto vyeupe?
Kwahiyo we ushawazalia wangapi?YaaH.. si mnapenda white baby nyie..!
Utumwa wa fikra.
Binafsi napenda mtoto mwenye afya nzuri haijalishi ana rangi gani, awe mweusi mweupe au majiyakunde. Mtoto akiwa na afya anamvutia mtu yeyote yule. Mtoto akiwa na afya dhaifu huwa avutii hata awe mweupe kiasi gani.
Sasa watu wanashindwa kutofautisha afya ya mtoto na rangi ya mtoto, mtoto mwenye afya nzuri ndio kipenzi cha watu ila sio rangi. Ndio maana ukiwa na mtoto mwenye afya ya ukweli ukikutana na mtu yeyote hata ukiwa safarini kitu cha kwanza mtoto atashikwa shavu, kimkono au kimguu chake kama hujamvisha soksi lakini hapo huo mvuto huletwa na afya ya mtoto. Mtoto mwenye afya nzuri anavutia buana hachoshi kuangalia, kumgusa na kumbusu pia.Ni kweli Ney..afya ya mtoto ndo kitu cha muhimu zaidi.
Mkuu ni kweli kabisa, na huwa wanavipenda sana vitoto vyeupe vya majirani zao. Utaona wanavibebabeba sana na kuvikiss
Si ndio maana wanajichubua, kumbe mambo yenyewe ndio hayo loh!!!..Wa hali ya juu dear. Hivi mtu anaanzaje anzaje kubagua rangi mpaka mtoto asiye jua chochote?!!
Wenye utumwa wa fikra hawawezi kukuelewa, kwao mtoto anaevutia ni mweupe tu.Sasa watu wanashindwa kutofautisha afya ya mtoto na rangi ya mtoto, mtoto mwenye afya nzuri ndio kipenzi cha watu ila sio rangi. Ndio maana ukiwa na mtoto mwenye afya ya ukweli ukikutana na mtu yeyote hata ukiwa safarini kitu cha kwanza mtoto atashikwa shavu, kimkono au kimguu chake kama hujamvisha soksi lakini hapo huo mvuto huletwa na afya ya mtoto. Mtoto mwenye afya nzuri anavutia buana hachoshi kuangalia, kumgusa na kumbusu pia.
Kama watatu hv.. nakazi still inaendeleaKwahiyo we ushawazalia wangapi?
Nikweli kabisa mamyWenye utumwa wa fikra hawawezi kukuelewa, kwao mtoto anaevutia ni mweupe tu.