Ulimbukeni na usistaduu jumlisha na utumwa wa fikra kwamba ngozi bora ni nyeupeKwa mujibu wa utafiti wangu..
Na wanapenda kuzaa watoto weupe atakama wao ni weusi tii kama mkaa..
Ngoja niwazalishe tu mkuu.. watalea wenywe.. wao bora wapate white babyshombe shombe wanasoko kubwa sana kwa wadada wa kitanzania
Wako vzuri sana.. ni wako hawa Sakayo..?vina raha yake bhana
Mtuzalie tena!!!Kwa hyo sie Mashombe madame wengi wanapenda tuwazalie mababy.. et mkuu
YaaH.. si mnapenda white baby nyie..!Mtuzalie tena!!!
Rangi inaficha mengivina raha yake bhana
Na wengi wanaringia rangi tuuRangi inaficha mengi
Binafsi napenda mtoto mwenye afya nzuri haijalishi ana rangi gani, awe mweusi mweupe au majiyakunde. Mtoto akiwa na afya anamvutia mtu yeyote yule. Mtoto akiwa na afya dhaifu huwa avutii hata awe mweupe kiasi gani.Kwa mujibu wa utafiti wangu..
Na wanapenda kuzaa watoto weupe atakama wao ni weusi tii kama mkaa..
AFYA dhaifu? So mwanao akiwa na afya dhaifu utamchukiaBinafsi napenda mtoto mwenye afya nzuri haijalishi ana rangi gani, awe mweusi mweupe au majiyakunde. Mtoto akiwa na afya anamvutia mtu yeyote yule. Mtoto akiwa na afya dhaifu huwa avutii hata awe mweupe kiasi gani.
Mmh.Tanzania ..kwa wadada wengi..ikitokea mtoto akazaliwa mweupe..then akawa anabadilika katika stage za ukuaji..wanakuwa wanasikitika sana