Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hiki ni kichekesho, Maslahi makubwa kwa ka nchi cha watu wavivu??? Hakuna kitu cha kuwanufaisha wa Bara.
Je umeshasoma gazeti la mwanahalisi la taarih 6 -13 June 2012.
Mada ya Jabir Idrissa alioipa anuani ya MPANGA UBAYA MWISHO HUMRUDIA.
HEBU PITIA HAPO WWW.MWANAHALISI.CO.TZ pasi na shaka utajifunza mengi sana.