Sijui sample size iliotumika ila binafsi nimesikia shuhuda nyingi za matajiri wa jamii hiyo kuwa harrass ki-ngono wafanyakazi wao (wawe na wa ndan au dukani).na mmoja nilikua na nasaba nae ya mbali yeye alinisimulia mwenyewe yaliyompata na vias vingine alivyowahi kushuhudia.
So inaweza kuwa sio kwa kiwango kikubwa lakini kusema HAIWEZEKAN,KAMWE,MWIKO sio sawa.Wapo wanaofanya kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.