Kwanini Waarabu na Wahindi wao huwa hawapendi kuwa na mahusiano na Wafanyakazi wao Dukani au Ofisini, ila kwa Waafrika ni jambo la kawaida sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,518
108,793
Mwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama dukani au ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa (siku hizi mnawaita Pisi Kali) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi Kali' halafu 'humbandui' utachekwa na kuonekana ni bonge la 'Popoma' lililotukuka.

Tofauti hii inatokana na nini kati ya Waarabu na Wahindi dhidi ya sisi Weusi? Na nimetonywa hakuna 'Nuksi' mbaya kama 'Kutiana' Sehemu ya Kazi.
 
FYI.... kwa kuwa waarabu na waHindi wengi hufuata na kutii itikadi na Imani za Dini ...
1. As a Muslim ni haramu kuzini..,ni haramu kutongoza jirani yako wa mzunguko wa nyumba arubaini(40) sembuse mwajiriwa/m'kazi wako!!
Hata kama atakushawishi vipi!!
2. NI HARAMU kutumia unyonge/uonevu wa employee wako...
3. Sababu za Kismat, nuksi na uchimvi ktk biashara hupelekea kuhasirika na kuporomoka!!

Lakini ofcoz ktk kikapu cha matunda hukosi tunda bovu !!
 
Wahindi wako "under strict time table" inajulikana muda wa kufungua duka, kufunga kwa ajili ya chakula cha mchana, kulala kidogo baada ya chakula cha mchana, muda wa kufungua duka baada ya chakula cha mchana, muda wa kufunga duka jioni na kwa ratiba hiyo hata muda wa kutoka na kurudi nyumbani unajulikana na haubadiliki.

Nje ya ofisi au dukani, wahindi wako zaidi kifamilia na siyo kuzururazurua mtaani na vijiweni.
 
Aisee siwezi ajiri katoto kazuri na nisikatumie, ukila mfanyakazi wako unapunguza gharama za kimaisha, mfano kwa sasa ukitangaza kazi ya mshahara wa laki kwa mwezi utanasa pisi kali nyingi tu tena vibichi bichi, kwahiyo kimahesabu mshahara utakuwa 60,000 afu 40,000 ya mgegedo, sasa imagine unakula katoto kabichi kazuri kwa mwezi kwa gharama ya 40,000, hii kitu nzuri sana
 
Back
Top Bottom