ALEX PETER
Senior Member
- Jan 17, 2012
- 117
- 23
ibara ya 14 ya katiba inasema kila mtu anayo haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii hifadhi ya maisha yake kwa mujibu wa sheria.
Ibara ya 20 ya katiba ya jamhuri ya muungano inasema kila mtu anastahili kuwa huru,bila kuathiri sheria za nchi,kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine,kutoa mawazo hadharani.
Kwanini polisi wanaua raia wasiokuwa na hatia eti kisa wanadai haki yao ya msingi kikatiba,kwanini polisi wetu hawachukuliwi hatua kwa vitendo vyao viovu juu ya wananchi?
kwanini vyombo vyetu vya dora vinatumikia upande mmoja wa chama tawala?
mbona uvccm arusha waliandamana bila kuwajulisha polisi lakini hawakuchukuliwa hatua kwanini vikifanya hvo vyama vya upinzani na wananchi inakuwa nongwa?
Ibara ya 20 ya katiba ya jamhuri ya muungano inasema kila mtu anastahili kuwa huru,bila kuathiri sheria za nchi,kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine,kutoa mawazo hadharani.
Kwanini polisi wanaua raia wasiokuwa na hatia eti kisa wanadai haki yao ya msingi kikatiba,kwanini polisi wetu hawachukuliwi hatua kwa vitendo vyao viovu juu ya wananchi?
kwanini vyombo vyetu vya dora vinatumikia upande mmoja wa chama tawala?
mbona uvccm arusha waliandamana bila kuwajulisha polisi lakini hawakuchukuliwa hatua kwanini vikifanya hvo vyama vya upinzani na wananchi inakuwa nongwa?