wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Ebu tupe na wa hapo bongo.
Funguka mkubwa usione aibu mods watakulinda
Ebu tupe na wa hapo bongo.
Funguka mkubwa usione aibu mods watakulinda
Your explanation is not explicitDont you understand what i mean?
You cant see by naked eyes.Your explanation is not explicit
Nyankyurungu2020:Ni jambo la kushangaza sana kuona wanandani wako wanakugeuka na kusuka mipango ya kukuua. Maana madaraka ya Afrika yanashangaza sana.
Blaise Compaore alimgeuka mtu wake wa karibu kabisa Thomasa Isidore Sankara na kisha kumuua. Na yeye akachukua madaraka
Mobutu Seseseko alimgeuka Patrice Lumumba na kisha akapanga njama za kumuua akishirikiana na mashirika ya kijasusi ya ya mabeberu.
Tafawa Balewa alifanyiwa usailiti mbaya sana na kisha kuuawa kama mnyama. Na waliomsaliti ni watu wa karibu na walimuua na kufanikisha walichotaka.
Kwa ufupi kama taifa tujitafakari sana. Maana Afrika is not good.
Walete ushahidi sasa. Muhimu nchi inaendelea vizuri mno bila mtu yule. Tuna furaha, uhuru na amani vilivyotoweshwaConscipiracy zinasema ni biological weapons ndo zilitumika, biological assassination.