Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Sijawai wasikia kina Hashim Rungwe, Dovutha, kina Zitto, Lipumba, Cheyo na Mrema wakipitia kama aliyoyapitia Mbowe.
Hao viongozi wa vyama pinzani hawajawai filisiwa Kama Mbowe, hawajawai vunjiwa sehemu za Bihashara Kama Mbowe, hawajawai kutekwa na kuumizwa kama Mbowe.
Hao wote hawajawai pewa kesi kama za Mbowe, hawajawai kufungwa kama Mbowe, nachojiuliza hao viongozi wana kitu gani ambacho kinawafanya wasisumbuliwe na dora kama Mbowe.
Tatizo la Mbowe ni lipi mbona kila siku matatizo hayaishi kwakwe
Hao viongozi wa vyama pinzani hawajawai filisiwa Kama Mbowe, hawajawai vunjiwa sehemu za Bihashara Kama Mbowe, hawajawai kutekwa na kuumizwa kama Mbowe.
Hao wote hawajawai pewa kesi kama za Mbowe, hawajawai kufungwa kama Mbowe, nachojiuliza hao viongozi wana kitu gani ambacho kinawafanya wasisumbuliwe na dora kama Mbowe.
Tatizo la Mbowe ni lipi mbona kila siku matatizo hayaishi kwakwe