Kwanini vijana wengi wamekosa kujiamini?

Daudi1

JF-Expert Member
Dec 14, 2013
8,799
8,706
Habari ya weekend wana kijiji wenzangu wa humu ndani, ni muda mrefu sijazungumza chochote Leo naomba tushirikiane hili hasa kwa wanaume,

Wanaume wengi sasa
Wamekosa kujiamini mbele ya mwanamke, sijajua kwanini hii imepelekea imepelekea mwanaume kuwa mlalamikaji zaidi, miaka ya nyuma mwanamke ndio alikuwa mlalamikaji katika mahusiano.
Sababu haswa ni nini? Unakuta kabisa mwanaume anashindwa kufanya maamuzi kama mwanaume, wengine hata wanashindwa kwenda kumtongoza mwanamke ambaye amevutiwa naye, ukiuliza utasikia "yule dada matawi" au ooh Mimi sina kazi nitampa nini, kwani amesema akija kwako anataka kazi au kuna matawi yanayoelea bila kuwepo mti wake? Hii imepelekea hata Hawa wanawake zetu kutudharau mwisho wa siku mahusiano yanakuwa hayana afya, mwanaume ndio kiongozi wa mahusiano kama hayajafika hatua kubwa lakin ni kichwa cha familia lazima ujiamini, una mwanamke halafu ukagundua mwanamke anamahusiano mengine eti unakaa naye chini kuniuliza kwanini unanisaliti huo ni ujuha, mwanamke anatakiwa awe na hofu juu ya mume wake, kwamba hapa nikifanya tofauti huyu mwanaume hatutaelewana.

Sijajua nini kimetukumba juu ya hili, mahusiano yenye afya hujengwa na msimamo wa mwanaume na nikuambie tu msimamo wa mwanamke hutegemea zaidi msimamo namtazamo wa mume/mpenzi wake, hebu tuelezane shida ni nini kwanini tunakosa kujiamini huu mjadala ni wa wote mwanamke pia unaweza sema kwa mawazo yako juu ya hili, nawasilisha karibuni
 
Kwa sababu, Mama Mongera amesema.

Btw, kwenye maswali yako yote umetoa majibu sasa unataka mjadala wa kuhusu nini hasa!?
 
Kwa sababu, Mama Mongera amesema.

Btw, kwenye maswali yako yote umetoa majibu sasa unataka mjadala wa kuhusu nini hasa!?
Mongera amezungumzia wabakaji mkuu au na wao wanaingia katika kundi hili
 
Umejuaje kama wamekosa kujiamini mbona mm najiamini vya kutosha
Basi wewe uko kwenye kundi la wachache, nimejuaje wewe hata thread za vijana wengi humu huzioni tufanye tu hufuatilii mambo ya kijamii
 
Habari ya weekend wana kijiji wenzangu wa humu ndani, ni muda mrefu sijazungumza chochote Leo naomba tushirikiane hili hasa kwa wanaume,

Wanaume wengi sasa
Wamekosa kujiamini mbele ya mwanamke, sijajua kwanini hii imepelekea imepelekea mwanaume kuwa mlalamikaji zaidi, miaka ya nyuma mwanamke ndio alikuwa mlalamikaji katika mahusiano.
Sababu haswa ni nini? Unakuta kabisa mwanaume anashindwa kufanya maamuzi kama mwanaume, wengine hata wanashindwa kwenda kumtongoza mwanamke ambaye amevutiwa naye, ukiuliza utasikia "yule dada matawi" au ooh Mimi sina kazi nitampa nini, kwani amesema akija kwako anataka kazi au kuna matawi yanayoelea bila kuwepo mti wake? Hii imepelekea hata Hawa wanawake zetu kutudharau mwisho wa siku mahusiano yanakuwa hayana afya, mwanaume ndio kiongozi wa mahusiano kama hayajafika hatua kubwa lakin ni kichwa cha familia lazima ujiamini, una mwanamke halafu ukagundua mwanamke anamahusiano mengine eti unakaa naye chini kuniuliza kwanini unanisaliti huo ni ujuha, mwanamke anatakiwa awe na hofu juu ya mume wake, kwamba hapa nikifanya tofauti huyu mwanaume hatutaelewana.

Sijajua nini kimetukumba juu ya hili, mahusiano yenye afya hujengwa na msimamo wa mwanaume na nikuambie tu msimamo wa mwanamke hutegemea zaidi msimamo namtazamo wa mume/mpenzi wake, hebu tuelezane shida ni nini kwanini tunakosa kujiamini huu mjadala ni wa wote mwanamke pia unaweza sema kwa mawazo yako juu ya hili, nawasilisha karibuni

no money, no supportive environment, and no government support. what do you expect brother?

serikali na viongozi wetu wanajua kutumia risasi sio ubongo
 
no money, no supportive environment, and no government support. what do you expect brother?

serikali na viongozi wetu wanajua kutumia risasi sio ubongo
Heee sasa serikali ikutengenezee mazingira gani kwenye mahusiano
 
Hiyo ndo sababu kubwa, ukiwa na money confidence inakuja automatically unaweza tongoza yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnataka kusema wanaume wote waliopo kwenye mahusiano they have money and jobs? Hebu tuliangalie kwa upana mwanaume anayeshindwa hata kumuonya mpenzi wake au mke wake halafu anaishia kulalamika, ni kwa sababu hana hela?
 
Back
Top Bottom