zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Habari,
Jamani ndoa nyingi mbona ni za people aged from 30+ kuna siri gani hapa. Watu wazima ndo wanaoana alafu eti Youths wao hawataki kuoa/kuolewa.
Nimeshuhudia ndoa nyingi Ila asilimia kubwa unakuta wanandoa ni watu wenye umri mkubwa kuanzia miaka 30+ kwani vijana wao wana nini mpaka wasioe/kuolewa.
Alafu ukitaka kuoa mapema ili ui enjoy maisha utasikia maneno eti "hujakua maisha ya ndoa huyawezi".Hii ndio inapelekea vijana wanakua playboys hata wakiingia kwenye ndoa wanachepuka kwasababu washazoea loose life wakiwa wadogo so hata wakikua inaendelea tabia ile ile.
Au labda tuseme vijana wanasubiri wale maisha kwanza alafu wajihisi wametosheka ndo wanatafuta wenza wa kuspend nao the rest of their life.
Kuna wakati ukioa/kuolewa mapema ndoa inanoga sasa ukisubiri mpaka uzeeke ndo uoe/uolewe no enjoyment kwenye marriage .
Yaani ukisikia wanandoa nowdays utakuta na mijibaba na wanawake wenye umri mkubwa. Vijana wanaogopa nini kuingia kwenye ndoa mapema.
Jamani ndoa nyingi mbona ni za people aged from 30+ kuna siri gani hapa. Watu wazima ndo wanaoana alafu eti Youths wao hawataki kuoa/kuolewa.
Nimeshuhudia ndoa nyingi Ila asilimia kubwa unakuta wanandoa ni watu wenye umri mkubwa kuanzia miaka 30+ kwani vijana wao wana nini mpaka wasioe/kuolewa.
Alafu ukitaka kuoa mapema ili ui enjoy maisha utasikia maneno eti "hujakua maisha ya ndoa huyawezi".Hii ndio inapelekea vijana wanakua playboys hata wakiingia kwenye ndoa wanachepuka kwasababu washazoea loose life wakiwa wadogo so hata wakikua inaendelea tabia ile ile.
Au labda tuseme vijana wanasubiri wale maisha kwanza alafu wajihisi wametosheka ndo wanatafuta wenza wa kuspend nao the rest of their life.
Kuna wakati ukioa/kuolewa mapema ndoa inanoga sasa ukisubiri mpaka uzeeke ndo uoe/uolewe no enjoyment kwenye marriage .
Yaani ukisikia wanandoa nowdays utakuta na mijibaba na wanawake wenye umri mkubwa. Vijana wanaogopa nini kuingia kwenye ndoa mapema.