Kwanini vijana waliozaliwa Dar, hawataki kuhama makwao pamoja na umri kusonga?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,658
15,793
Yan jana aibu nimeona mimi.
Kuna sehemu moja kuna mzee ana nyumba yake na anaishi hapo na mke wake na wanafamilia wengine.
Basi baada ya kuwa naenda hapo dukani kwake nikagundua kuwa ana kijana mkubwa kabisa. Yan ni kula kulala na anakaa na wazee wake hapo.
Hii ikanikumbusha wimbo wa Kijuso, pale Queen Darlin anaposema kazi yako kula kulala,huchangii hata kitunguu!
Sasa nini kimewalemaza hawa vijana waliozaliwa hapa Dar mpaka wengi wao wakakatalia kwa wazazi wao wasiende kujitegemea?
 
Yan jana aibu nimeona mimi.
Kuna sehemu moja kuna mzee ana nyumba yake na anaishi hapo na mke wake na wanafamilia wengine.
Basi baada ya kuwa naenda hapo dukani kwake nikagundua kuwa ana kijana mkubwa kabisa. Yan ni kula kulala na anakaa na wazee wake hapo.
Hii ikanikumbusha wimbo wa Kijuso, pale Queen Darlin anaposema kazi yako kula kulala,huchangii hata kitunguu!
Sasa nini kimewalemaza hawa vijana waliozaliwa hapa Dar mpaka wengi wao wakakatalia kwa wazazi wao wasiende kujitegemea?
Ishi maisha yako.
Na uwe unafata kilichokupeleka
 
Dar ni mjini na ukishazaliwa mjini ni vigumu kuhama labda uhamie jiji kubwa zaidi ndio maana wengi huishia kuzamia nchi za watu.Hata wahuni wengi wa America wana maisha yanayotaka kufanana na Dar kwa sababu huwa hawataki kufanya kazi za kijingajinga na kuihama miji yao.Matokeo yake huishia kuwa waharifu au kula kulala.
 
Sawa mkuu.
ffa94ae2c14c37df1b8554aee832e00b.jpg
 
Hawana kazi za uhakika za kuwaingizia kipato ambacho ambacho angepanga au kujenga na kujitegemea kwa ujumla

Sasa unakuta kijana kwao kuna vyumba tu vipo atafanya nn huyu ila wengine wanapenda kubweteka kiukweli
 
Hawana kazi za uhakika za kuwaingizia kipato ambacho ambacho angepanga au kujenga na kujitegemea kwa ujumla

Sasa unakuta kijana kwao kuna vyumba tu vipo atafanya nn huyu ila wengine wanapenda kubweteka kiukweli
Mbona mikoan mtu ukiona umri fulan umesogea whether una shule au huna unaomba ruhusa utoke home ukatafute maisha! Yawezekana hawa wana dar es salaam hawana mishipa ya conscious? Ilikufa haifai hata kwa service unakuta mtu ana miaka 38 na watoto yupo kwao chumba cha uani kama jogoo anapishana choon na wadogo zake! Ananyoa ndevu na babake yaaan hajiulizi babake angetulia kama yeye hiyo familia ingekuwaje
 
Mtuache bana,maisha yetu yanawahusu nini?jalini shida zenu zilizo waleta mjini.sisi ndo maboni hia hia,tuna upendo na wazazi wetu,tunakaa nao kuwalinda,mnataka tuondoke muwavamie?tunaolea na kuzalia humuhumu homu,mbona kuku hajibagui,anakaa banda moja na watoto wake,wanaendelea kuzaana kama kawa,baba anawika mtoto anawika na maisha raha mustarehe.au kinawauma sisi kukaa magomeni na kinondoni nyie goba na chanika?
 
Mtuache bana,maisha yetu yanawahusu nini?jalini shida zenu zilizo waleta mjini.sisi ndo maboni hia hia,tuna upendo na wazazi wetu,tunakaa nao kuwalinda,mnataka tuondoke muwavamie?tunaolea na kuzalia humuhumu homu,mbona kuku hajibagui,anakaa banda moja na watoto wake,wanaendelea kuzaana kama kawa,baba anawika mtoto anawika na maisha raha mustarehe.au kinawauma sisi kukaa magomeni na kinondoni nyie goba na chanika?
 
Mtuache bana,maisha yetu yanawahusu nini?jalini shida zenu zilizo waleta mjini.sisi ndo maboni hia hia,tuna upendo na wazazi wetu,tunakaa nao kuwalinda,mnataka tuondoke muwavamie?tunaolea na kuzalia humuhumu homu,mbona kuku hajibagui,anakaa banda moja na watoto wake,wanaendelea kuzaana kama kawa,baba anawika mtoto anawika na maisha raha mustarehe.au kinawauma sisi kukaa magomeni na kinondoni nyie goba na chanika?
Unamtusi mzazi wako kwa kuifananisha familia yenu na kuku.
 
Back
Top Bottom