and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,114
Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Swali zuri la ufahamu. Hapa nchini Wana mpaka Balozi waoHivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Karibu St. PetersHivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Palestina je?Ule ni mji mtakatifu wa kiroma na kiongozi wake ni papa kwa maana hiyo pale hamna siasa kama za nchi nyinginezo.
Na UN ipo kisiasa zaidi ni mawazo yangu naomba kusahihishwa
Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Palestina je?
Hata Zanzibar sidhan Kama inatambulika na UN![]()
Aliitoa Nyerere. Zanzibar haikupiga kura za maoni kuamua kujitoa UN.Zanzibar ilishajitoa, inayotambulika ni United Republic of Tanzania.
Vatican ni mji Mtakatifu wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki , wenye hadhi ya nchi kimataifa na Balozi nchi zote duniani, hivyo ni dola isiyo na jeshi, polisi, sarafu, uhamiaji, mipaka wala passport!. Inatambuliwa kama nchi ndani ya nchi, yenye dola inayotambuliwa ni Italy. Vatican ni mji mtakatifu.Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Zanzibar siyo nchiHata Zanzibar sidhan Kama inatambulika na UN![]()
Ni nini kama siyo nchi?Zanzibar siyo nchi
Sio kweli, sovereign state sio lazima uwe na jeshi na hivyo vingine.Vatican sio nchi ni mji Mtakatifu, wenye hadji ya nchi kimataifa na Balozi nchi zote duniani ila sio dola; hauna polisi, jeshi, sarafu, nchi yenye dola inayotambuliwa ni Italy. Vatican ni mji mtakatifu.
Kule UN utambuzi ni wa dola tuu, ndio maana hata Zanzibar haitambuliwi kimstaifa.
P
Vatican ni mji wa kiimani na unaye mwakilishi UN.Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Mkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?Vatican sio nchi ni mji Mtakatifu, wenye hadji ya nchi kimataifa na Balozi nchi zote duniani ila sio dola; hauna polisi, jeshi, sarafu, nchi yenye dola inayotambuliwa ni Italy. Vatican ni mji mtakatifu.
Kule UN utambuzi ni wa dola tuu, ndio maana hata Zanzibar haitambuliwi kimstaifa.
P
Vatikan sio nchi bali ni makao makuu ya dini flaniHivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?