Kwanini uwe mfanyakazi wa serikali?

Kwanini uwe mfanyakazi wa serikali?

paqwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,331
Reaction score
3,119
Kumekuwa na nadharia tangu enzi za Nyerere mpaka sasa kwamba ajira ni utumishi wa umma tu, kisa kikubwa eti kuna security.

Lakini ukiangalia wengi wa hao watumishi, ni watu wanaostruggle sana, angalia walimu, madaktari,wauguzi, nk. Asilimia 95 yao ni watu wanaoteseka na maisha.

Mshahara wa kawaida sana, wamejaa madeni , benki mpaka vikoba, hawana la maana. Lakini wanag'ang'ana tu. Mtu anasubiri kustaafu, ndio apate kihela labda cha kupumulia maana lazima atakuwa na madeni ya kutosha. Na atakufa siku si nyingi maana jua linakuwa lishazama.

Baadhi ya watumishi kwenye strategic positions ndio utawaona wananufaika na utumishi wa umma, mfano wale wa bungeni, baadhi ya wizara, mashirika na taasisi za umma. Na hao si wengi kama hawa wa kawaida.

Je, 2025 bado kuna watu wanaamini kuwa maisha ni kufanya kazi serikalini? Huu uoga utaisha lini?

Ukiangalia kwa jicho lingine utakuwa ni incompetence inawasukuma huko maana asilimia kubwa ya graduates hawana skills za kuajirika sehemu za maana. Wataharibu tu. International job market ipo kubwa sana lakini hutoona wanahangaika nayo kama ilivyo wenzetu wa Kenya au Wanigeria.

Je mpaka 2025 hii mentality ya kitumwa na ya ki coward inafaa?
 
Kwenye utumishi wa umma wenye mishahara na maisha mazuri ni wakuu wa Idara (viongozi) wenye salary scale za LSS, safari nyingi zenye marupurupu na benefits zingine kibao. Wengine hawalipwi mishahara bali wanalipwa ujira
Inategemea na taasisi. Haswa mashirika japo si yote. Kuna shirika hadi mfanyakazi wa chini analipwa vizuri tu
 
Kumekuwa na nadharia tangu enzi za Nyerere mpaka sasa kwamba ajira ni utumishi wa umma tu, kisa kikubwa eti kuna security. Lakini ukiangalia wengi wa hao watumishi, ni watu wanaostruggle sana, angalia walimu, madaktari,wauguzi, nk. Asilimia 95 yao ni watu wanaoteseka na maisha. Mshahara wa kawaida sana, wamejaa madeni , benki mpaka vikoba, hawana la maana. Lakini wanag'ang'ana tu. Mtu anasubiri kustaafu, ndio apate kihela labda cha kupumulia maana lazima atakuwa na madeni ya kutosha. Na atakufa siku si nyingi maana jua linakuwa lishazama. Baadhi ya watumishi kwenye strategic positions ndio utawaona wananufaika na utumishi wa umma, mfano wale wa bungeni, baadhi ya wizara, mashirika na taasisi za umma. Na hao si wengi kama hawa wa kawaida. Je 2025 bado kuna watu wanaamini kuwa maisha ni kufanya kazi serikalini? Huu uoga utaisha lini?
Ukiangalia kwa jicho lingine utakuwa ni incompetence inawasukuma huko maana asilimia kubwa ya graduates hawana skills za kuajirika sehemu za maana. Wataharibu tu. International job market ipo kubwa sana lakini hutoona wanahangaika nayo kama ilivyo wenzetu wa Kenya au Wanigeria.

Je mpaka 2025 hii mentality ya kitumwa na ya ki coward inafaa?
Utumish wa umma haiushii kwa daktari na walimu, kama hao ndio generalization yako basi una safari ndefu.
Kuna zaidi ya hao, lakini pia ni uwongo kuwa 95% wana struggle.

Itategemea na mtu yupo taasis gani. mfano waliopo kwenye mashirika, si yote. Kuna yale mashirika yanakusanya pesa yenyewe, wale mpaka mfanyakazi wa chini ana maisha
 
Kumekuwa na nadharia tangu enzi za Nyerere mpaka sasa kwamba ajira ni utumishi wa umma tu, kisa kikubwa eti kuna security. Lakini ukiangalia wengi wa hao watumishi, ni watu wanaostruggle sana, angalia walimu, madaktari,wauguzi, nk. Asilimia 95 yao ni watu wanaoteseka na maisha. Mshahara wa kawaida sana, wamejaa madeni , benki mpaka vikoba, hawana la maana. Lakini wanag'ang'ana tu. Mtu anasubiri kustaafu, ndio apate kihela labda cha kupumulia maana lazima atakuwa na madeni ya kutosha. Na atakufa siku si nyingi maana jua linakuwa lishazama. Baadhi ya watumishi kwenye strategic positions ndio utawaona wananufaika na utumishi wa umma, mfano wale wa bungeni, baadhi ya wizara, mashirika na taasisi za umma. Na hao si wengi kama hawa wa kawaida. Je 2025 bado kuna watu wanaamini kuwa maisha ni kufanya kazi serikalini? Huu uoga utaisha lini?
Ukiangalia kwa jicho lingine utakuwa ni incompetence inawasukuma huko maana asilimia kubwa ya graduates hawana skills za kuajirika sehemu za maana. Wataharibu tu. International job market ipo kubwa sana lakini hutoona wanahangaika nayo kama ilivyo wenzetu wa Kenya au Wanigeria.

Je mpaka 2025 hii mentality ya kitumwa na ya ki coward inafaa?
Duniani tunaishi kwa kutegemeana. Serikalini wakikosekana watumishi mambo hayataenda lakini tatizo kubwa ni mfumo wetu mbovu wa elimu uliotuandaa kuajiriwa. Tatizo lingine taasisi binafsi hazieleweki (hakuna security). Maisha ya duniani kama porini, kuna wanyama wala nyasi, wapo wala nyama fresh na kuna scavengers pia. Mtumishi wa umma akipata ujira wake atakuja kwako mfanyabiashara kununua bidhaa lakini kuwa mtumishi wa umma haizuiliwi kufanya mambo mengine nje na kazi ulioajiriwa
 
Wakuu wa Idara hata kwenye Halmashauri wanalipwa vizuri
Halmashauri wakuu wa idara yes, but wengi wanakipwa kawaida mno.
Linganisha watumishi wa almashauri vs mashirika ya gov, wameachwa mbali mno. Halmashauri hawasogei hata kidogo.

Hao wakuu wa idara mshahara wao, kuna shirika ni mshahara wa mtu wa chini sana
 
Halmashauri wakuu wa idara yes, but wengi wanakipwa kawaida mno.
Linganisha watumishi wa almashauri vs mashirika ya gov, wameachwa mbali mno. Halmashauri hawasogei hata kidogo.

Hao wakuu wa idara mshahara wao, kuna shirika ni mshahara wa mtu wa chini sana
Marupurupu wanayopata wakuu wa Idara yanaweza zidi mishahara yao. Kwenye utumishi wa umma kama huna safari zenye per diem utakuwa na njaa Kali. Tofauti ya mshahara wa mkuu wa Idara na Mkirugenzi katika Halmashauri haizidi laki na nusu
 
Marupurupu wanayopata wakuu wa Idara yanaweza zidi mishahara yao. Kwenye utumishi wa umma kama huna safari zenye per diem utakuwa na njaa Kali. Tofauti ya mshahara wa mkuu wa Idara na Mkirugenzi katika Halmashauri haizidi laki na nusu
labda mkuu wa idara na mkurugenzi wilayani.

Ila wakurugenzi wa mashirika hao jamaa wanakimbizana na wabunge. inategemea na mkurugenzi wa wapi

Honestly kuna mashirika mkurugenzi analipwa pesa ndefu, achilia mbali marupu rupu, even RC mkoa hafikii hiyo level.

Itagegemea unamlinganisha na mkurugenzi wa wapi
 
labda mkuu wa idara na mkurugenzi wilayani.

Ila wakurugenzi wa mashirika hao jamaa wanakimbizana na wabunge. inategemea na mkurugenzi wa wapi

Honestly kuna mashirika mkurugenzi analipwa pesa ndefu, achilia mbali marupu rupu, even RC mkoa hafikii hiyo level.

Itagegemea unamlinganisha na mkurugenzi wa wapi
Namaanisha wakurugenzi na wakuu wa Idara katika Halmashauri.
Simaanishi mkuu wa Idara katika chuo😀😀
 
Back
Top Bottom