Kwanini uvae, kumiliki ama kuuza sare za jeshi wakati sheria inakataza?

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,728
29,107
Mzuka mwanajamvi!

Mimi licha ya bangi zangu likija swala la kufuata sheria ama kanuni niko makini sana. Popote pale iwe sheria za nchi ama kanuni za kazi

Na hii imenisaidia sana kwenye maisha yangu.

Hapo kabla 2016 kurudi nyuma nilikuwa mjeuri sana lakini nikajifunza kuhusu kuwa law abiding citizen or person.
I
Hizi mbwembwe ninazo nyuma ya keyboard msizchukuliaje serious. Ni kurelease stress tu.

Ninasikitishwa sana na watanzania ambao wengi ni ignorant na dont care. Kutokana na hii tabia wanajikuta matatani na kupoteza muda katika maisha yao kujikuta jela, kudhurika hata kudhalilika.

Jeshi nchini limeweka wazi kabisa nikinyume cha sheria kuvaa sare za jeshi na zinazofanana. Wakikumamata utaona cha moto.

Lakini bado tu unakuta waty wanavaa. Mwisho wake unabakia kudhurika na kudhalilishwa na hata kuswekwa ndani.

Kwanini sasa yote hayo na ni rahisi tu kuepuka. It doesn't cost a thing.

Kuna sheria zingine ama kanuni zenji huko wameweka usile hadharani wakati wa mfungo unakuta mtu anakula tu akipigwa analalamika hizi offenses not crimes mbona zinaepukika tu unajikuta unajiweka kwenye mazingira ya sintomfaham.

Sheria za kusafiri nje ya nchi na kiasi flani cha fedha kinaweka wazi usisafiri nje ya nchi na zaidi ya dollar za kimarekani elfu 10. Lakini mtu anazo zaidi hadi elfu 30-50. Na akishikwa zinakuwa confiscated na kwenda jela na kumiss flight yako.

Simple thing in life kufuata sheria na kanuni inasaidia sana.
 
Kwa nini serikali isidhibiti uingizaji wa hizo sare za jeshi?
Kwa nini wasikamatwe hao wanaouza hizo sare?
Kwa nini jeshi liingilie wajibu wa polisi wa kusaka na kukamata raia wahalifu mitaani??
 
Sare za jeshi zinajulikana na zina utisho kuzivaa kama wewe si mwanajeshi . Hizo wanazodai ni sare za jeshi ni nguo za kiraia na si kombati. Zimerembwa kwa mabaka mabaka yenye rangi mchanganyiko kahawia, kijani na krimu. Kuna chupi, pedo, brazia, bikini, vesti, boksa, kalamu, raba, stika, penseli, midoli ya watoto, vitambaa na vitu vingine vingi. Wanasumbua raia tu, kimsingi hayo si mavazi ya kijeshi
 
Sare za jeshi zinajulikana na zina utisho kuzivaa kama wewe si mwanajeshi . Hizo wanazodai ni sare za jeshi ni nguo za kiraia na si kombati. Zimerembwa kwa mabaka mabaka yenye rangi mchanganyiko kahawia, kijani na krimu. Kuna chupi, pedo, brazia, bikini, vesti, boksa, kalamu, raba, stika, penseli, midoli ya watoto, vitambaa na vitu vingine vingi. Wanasumbua raia tu, kimsingi hayo si mavazi ya kijeshi
 
Mzuka mwanajamvi!

Mimi licha ya bangi zangu likija swala la kufuata sheria ama kanuni niko makini sana. Popote pale iwe sheria za nchi ama kanuni za kazi

Na hii imenisaidia sana kwenye maisha yangu.

Hapo kabla 2016 kurudi nyuma nilikuwa mjeuri sana lakini nikajifunza kuhusu kuwa law abiding citizen or person.
I
Hizi mbwembwe ninazo nyuma ya keyboard msizchukuliaje serious. Ni kurelease stress tu.

Ninasikitishwa sana na watanzania ambao wengi ni ignorant na dont care. Kutokana na hii tabia wanajikuta matatani na kupoteza muda katika maisha yao kujikuta jela, kudhurika hata kudhalilika.

Jeshi nchini limeweka wazi kabisa nikinyume cha sheria kuvaa sare za jeshi na zinazofanana. Wakikumamata utaona cha moto.

Lakini bado tu unakuta waty wanavaa. Mwisho wake unabakia kudhurika na kudhalilishwa na hata kuswekwa ndani.

Kwanini sasa yote hayo na ni rahisi tu kuepuka. It doesn't cost a thing.

Kuna sheria zingine ama kanuni zenji huko wameweka usile hadharani wakati wa mfungo unakuta mtu anakula tu akipigwa analalamika hizi offenses not crimes mbona zinaepukika tu unajikuta unajiweka kwenye mazingira ya sintomfaham.

Sheria za kusafiri nje ya nchi na kiasi flani cha fedha kinaweka wazi usisafiri nje ya nchi na zaidi ya dollar za kimarekani elfu 10. Lakini mtu anazo zaidi hadi elfu 30-50. Na akishikwa zinakuwa confiscated na kwenda jela na kumiss flight yako.

Simple thing in life kufuata sheria na kanuni inasaidia sana.
Sheria zilitungwa ili zivunjwe.
Wewe unajua kuvuta bangi, kuuza au kununua bangi ni kinyume na sheria kwa Tanzania. Sasa kwanini uvute?
 
Sare za jeshi zinajulikana na zina utisho kuzivaa kama wewe si mwanajeshi . Hizo wanazodai ni sare za jeshi ni nguo za kiraia na si kombati. Zimerembwa kwa mabaka mabaka yenye rangi mchanganyiko kahawia, kijani na krimu. Kuna chupi, pedo, brazia, bikini, vesti, boksa, kalamu, raba, stika, penseli, midoli ya watoto, vitambaa na vitu vingine vingi. Wanasumbua raia tu, kimsingi hayo si mavazi ya kijeshi
Nchi kama Marekani unavaa na husumbuliwi. Wenyewe walifanyaje? Ila ukija kwenye nchi ya wanajeshi wanaovunja tofali kwa kichwa unasumbuliwa.
Juzi nilikuwa naangalia tv, madiwani wanajadili kuhusu uhaba wa matundu ya choo na madarasa ya kusomea wanafunzi. Pamoja na kuwa na rasilimali nyingi sana ila hii nchi bado masikini sana.
 
Back
Top Bottom