Kwanini uumie?

Kwanini uumie?

Emily magnus

Senior Member
Joined
Apr 7, 2026
Posts
194
Reaction score
353
Nishasikia story za maisha ya watu waliokuwa wapenzi, baada ya kuachana. Mengine nimeshuhudia mubashara kabisa.

Hivi mtu mnaachana, afu UNALIA, UNAMTUKANA mwenzako, UNAMCHUKIA!!!!!!?
Kwanini?
Me siwezi kufanya ujinga huo hata siku moja.

Unakuta mwanaume kabisa anamchukia na kumtukana mwanamke kisa wameachana!!!

Wengine hata wakichomolewa tu, wanachukia balaaa, matusi yatakayokwenda kwa huyo dada ni yakutosha.
Sasa kwanini uteseke hivyo enhee!!

Me binafsi Mwanamke tukiachana, akichonimolea au akiniacha. Me nitaomba tuwe tu marafiki wa kawaida basi.
"Apo hata mazoea yakizidi, akiileta/akijilengesha NAICHAPA kiroho nzuri".
 
Unashangaa kulia ama kutukana...🤔
Watu tuna taka hadi kujiua, na wakati mwingine tunaomba msamaha kwa gharama hata ya kununua macho matatu......chezea penzi kijana eeehhh...🤣
Unadhani wahenga walio andika "penzi kitovu cha uzembe" walikua wajinga sio...🤨
 
Unashangaa kulia ama kutukana...🤔
Watu tuna taka hadi kujiua, na wakati mwingine tunaomba msamaha kwa gharama hata ya kununua macho matatu......chezea penzi kijana eeehhh...🤣
Unadhani wahenga walio andika "penzi kitovu cha uzembe" walikua wajinga sio...🤨
Linahitajika penz moja tuu likupige matukio, ukitoka hapo ni jiwe.. ns hutokua mzembe daima😀😀
 
Unashangaa kulia ama kutukana...🤔
Watu tuna taka hadi kujiua, na wakati mwingine tunaomba msamaha kwa gharama hata ya kununua macho matatu......chezea penzi kijana eeehhh...🤣
Unadhani wahenga walio andika "penzi kitovu cha uzembe" walikua wajinga sio...🤨
Mkuu katika story ya yule jamaa aliyandika bila kuzingatia ngeli za nomino naona umetokana na 'kumwomba mpenzi msamaha kwa kumnunulia macho matatu'.
 
Nishasikia story za maisha ya watu waliokuwa wapenzi, baada ya kuachana. Mengine nimeshuhudia mubashara kabisa.
Hivi mtu mnaachana, afu UNALIA, UNAMTUKANA mwenzako, UNAMCHUKIA!!!!!!?
Kwanini?
Me siwezi kufanya ujinga huo hata siku moja.

Unakuta mwanaume kabisa anamchukia na kumtukana mwanamke kisa wameachana!!!

Wengine hata wakichomolewa tu, wanachukia balaaa, matusi yatakayokwenda kwa huyo dada ni yakutosha.
Sasa kwanini uteseke hivyo enhee!!

Me binafsi Mwanamke tukiachana, akichonimolea au akiniacha. Me nitaomba tuwe tu marafiki wa kawaida basi.
"Apo hata mazoea yakizidi, akiileta/akijilengesha NAICHAPA kiroho nzuri".
Sijawahi kuacha mwanamke!!!

Huwaga wanajipunguza wenyewe, urafiki unabaki na anytime nikisikia njaa nakula.
 
Back
Top Bottom