Kwanini uumie?

Kwanini uumie?

Mm siwaz mapenz nikiachw sawa kwan bia c ipo napig zang mbil namsahau.Usiweke akil yako kwenye mapenzi utaumia.kwanza hilo la kulia eti umeachwa huo n upuuz.kwanza ukija kwangu kunielezea hiyo tarajia mbat za kutosh shenz sn.
 
Mm siwaz mapenz nikiachw sawa kwan bia c ipo napig zang mbil namsahau.Usiweke akil yako kwenye mapenzi utaumia.kwanza hilo la kulia eti umeachwa huo n upuuz.kwanza ukija kwangu kunielezea hiyo tarajia mbat za kutosh shenz sn.
kweli kabisa mkuu, me Nakuchukia sana ukianza kulialia kama totojinga kisa mapenzi. Ukiachwa bora hata uungane na bwashe min -me kwa zenye shingo ndefu.
 
Yote maisha..

Watu wamelelewa tofauti..

Wengine experiences zao ktk maisha zimewafanya wawe makatili..wasiojali hisia za wengine tena...

Bora akuache na maumivu, utapona...ila asitoe uhai wako..lol..kama yule muandishi Zanzibar kuuliwa na boyfriend kwa kweli inashangaza...
 
Yote maisha..

Watu wamelelewa tofauti..

Wengine experiences zao ktk maisha zimewafanya wawe makatili..wasiojali hisia za wengine tena...

Bora akuache na maumivu, utapona...ila asitoe uhai wako..lol..kama yule muandishi Zanzibar kuuliwa na boyfriend kwa kweli inashangaza...
na hapa sisi vijana, watoto wetu ndo inatakiwa tuwalee vizuri na kwenye mazingira mazuri.
Mtoto akilelewa na mzazi mmoja athari moja wapo ni atashindwa kuishi vizuri kwenye mahusiano ukubwani.
Mfano, mtoto wa kiume kulelewa na baba pekee. Anaathirika pale baba yake anamsema mama yake vibaya ili athaminiwe, au kutukanwa kupitia mama yake mfano, "mjinga kama mama ako".
Sasa hapo mtoto anaanza kuona mama yake hana thamani, anaamua kuwa kama baba. Na hiyo inakuja kumuathiri kwenye mahusiano baada ya kuchukua tabia ya baba yake, kuona mwanamke hana thamani kwenye maisha yake.
 
Back
Top Bottom