HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Nimemuachia Mungu mkuu. Mimi nimefanya kadri ya nilivyojaaliwa na kuzingatia madini yote ya wakuu kama Mwifwa na mfwende sawadogo
Kwa sasa jikite mishe zingine huku ukiendelea kufuatilia kwa karibu placement hasa kuanzia December huko.

Pia usiache kuomba nafasi zingine zitakazoendelea kutangazwa na endapo ukiitwa tena usisite kwenda kufanya written
 
MREJESHO

Usaili wa kwanza utumishi
Nimepenya written
Nimeshafanya oral

Kweli jamii forum ni kisima Cha maarifa
Dah me mwenyewe Leo nimepokea mkando hatari, nilifanya written juzi jumatatu kwa kazi 2 tofauti i.e EXAMINATION OFFICER na REGISTRATION OFFICER zote NECTA kila moja ikiwa na nafasi 2. Matokeo yametoka Jana nkipenya zote na kuingia oral.
 
Sababu kubwa ya kurudisha mamlaka ya kuajiri kwa taasisi husika kutoka Utumishi Mh. Rais alidanganywa kwamba ni kucheleweshwa kwa mchakato wa kuajiri kwa hiyo wafanyakazi hawapatikani kwa wakati.

Lakini kinachoendelea baada ya taasisi kurudishiwa mamlaka ni vichekesho.

Kwa mfano, TRA wamechelewa kuwaita watu na bado walipowaita palikuwa na makosa mengi kuanzia kuwaacha wenye vigezo mpaka siku ya mtihani kuna dogo ameniambia baadhi namba za mtihani zilifanana na wengine walijikuta wameitwa zaidi ya mara moja au mtu mmoja kupewa namba mbili tofauti. Mpaka sasa tunavyozungumza hata Oral haijulikani ni lini wala ni nani amefaulu!? Hivi huku ni kuboresha au kuharibu mifumo!

Changamoto ni kwamba taarifa zinazowaumiza wengi kama hivi huwa hazifiki kwa wenye mamlaka ila zinazowakwamisha wachache ni lazima zifike zikiwa na mkazo kwamba wanaoteseka ni wengi.
Mamlaka ya Mapato inapendwa na kila mtu kwahiyo kasoro za hapa na pale na malalamiko ya hapa na pale ni lazima yawepo. Taasisi ziachwe zitafute talent zitakazo fit mahitaji yao.
 
Ile issue ya TRA ndio kipimo tosha kwa taasisi kuajil wenyewe au lah, yan paka leo Oral haijulikan n lin, wala haijulikan watafanya practical au hapana, Nakumbuka utumish paka sasa hivi wangekuwa wameshamaliza kusahisha na wameshafanya oral. ila TRA imekuwa tofaut hata kutoa ratiba watu wafahamu tu kuwa vitu vitafanyika lini na lin

TRA wametumia miezi mitatu kuita watu interview, utumishi walikuwa wanakaa hata miezi 11 kuitwa written,then baada ya oral ndo usiseme ushahidi ni jina la uzi huu tunaochangia.
 
Back
Top Bottom