Kwanini uteuzi wa chief tanroad umechelewa?

king11

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
327
79
Taifa likiwa na wakati mgumu wa kujua ni nani ambaye atateuliwa kuwa mkuu wa Tanroad....kwani utendaji wa sasa umelisababishia taifa hasara kubwa sana katika mikataba yake na wakandarasi....chief aliyetangulia MR. Mrema akisaidiwa na ENG.MFUGALE waliiweka TANROAD wakati mgumu wa madeni kwenye mikataba mibovu na wakandarasi.....
nini kinakwamisha uteuzi wa chiefu na kuacha taasisi ikiendeshwa kimagumashi?
 
duh! jamani, usichokijua usiandike hapa, wakati wa utawala wa mrema, eng. mfugale hakuwa tanroads, alikuwa wizarani.
tafadhali jamani tuweke taarifa tunazizijua na tulizonazo uhakika, kuropoka ovyo ovyo kuna hatarisha imani ya wnanchi kwa jamii forums,
wanaojua ukweli watatucheka na kupoteza imani nasi, tuache kuropoka tusiyo yajua!
 
Anatafutwa muislam mwenye qualifications ikibidi aitwe toka nje ya nchi kama ilivyofanyika kwa Mbarawa ambae ameitwa na kupewa uwaziri wa Toknohama!! Ukweli ndio huo mtakujakumbuka mchango wangu juu ya hili jambo.
 
Toka lini shughuli za kihandisi zikaongozwa na surveyor!Uswahiba utatumaliza nchi hii!Mr. Mrema hakustahili hata kuufikiria achia mbali kuusogelea ukurugenzi wa Tanroads
 
duh! jamani, usichokijua usiandike hapa, wakati wa utawala wa mrema, eng. mfugale hakuwa tanroads, alikuwa wizarani.
tafadhali jamani tuweke taarifa tunazizijua na tulizonazo uhakika, kuropoka ovyo ovyo kuna hatarisha imani ya wnanchi kwa jamii forums,
wanaojua ukweli watatucheka na kupoteza imani nasi, tuache kuropoka tusiyo yajua!
si ndiye aliyekuwa mkurugenzi wa miradi katika wizara sasa unawezaje kumtofautisha na matatizo yanayoendelea sasa au nini kipya anachokifanya kwenye ukaimu wake .....katika kipindi cha ukaimu wake ndio TANROAD indaiwa na wakandarasi zaidi ya shs Bil 400 sasa kwanini kwa kutoendelea kuepusha makosa yanayofanywa na kaimu huyu kusifanyike uteuzi kamili wa nafasi hii na kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo wakati magufuli anamuondosha mrema kulikuwa migogoro ndani ya mameneja ambao wengi walikuwa wanalalamika juu ya uwezekano wa ENG mfugale kukaimu na ndio huu muendelezo wa matatizo ambapo sasa kuna kampuni kubwa nyingi zimeweka vifaa chini na zinaidai serikali fidia ....................kwanini ukaimu uendelee na kuendelea kuleta hasara badala ya kupatikana chief halisi na si kukaimu
kwani TANROAD imekuwa kitengo cha propaganda ambacho hiza tambwe alikaimu kwa zaidi ya miaka miwili?
 
Taifa likiwa na wakati mgumu wa kujua ni nani ambaye atateuliwa kuwa mkuu wa Tanroad....kwani utendaji wa sasa umelisababishia taifa hasara kubwa sana katika mikataba yake na wakandarasi....chief aliyetangulia MR. Mrema akisaidiwa na ENG.MFUGALE waliiweka TANROAD wakati mgumu wa madeni kwenye mikataba mibovu na wakandarasi.....
nini kinakwamisha uteuzi wa chiefu na kuacha taasisi ikiendeshwa kimagumashi?

Kwani haraka za nini ndugu yetu. Mbona uulizii ma RC na DC ambao mpaka leo bado kuchaguliwa. Au kuna something hapo tanroad
 
Kwani haraka za nini ndugu yetu. Mbona uulizii ma RC na DC ambao mpaka leo bado kuchaguliwa. Au kuna something hapo tanroad
ma DC na RC si watendaji ni viongozi wa kisiasa ...........unadhani rais anaweza kuchelewesha kuteua watu kama waziri mkuu .......wakuu wa mikoa ni watu wa sherehe tu
 
duh! jamani, usichokijua usiandike hapa, wakati wa utawala wa mrema, eng. mfugale hakuwa tanroads, alikuwa wizarani.
tafadhali jamani tuweke taarifa tunazizijua na tulizonazo uhakika, kuropoka ovyo ovyo kuna hatarisha imani ya wnanchi kwa jamii forums,
wanaojua ukweli watatucheka na kupoteza imani nasi, tuache kuropoka tusiyo yajua!

Well said!
 
Toka lini shughuli za kihandisi zikaongozwa na surveyor!Uswahiba utatumaliza nchi hii!Mr. Mrema hakustahili hata kuufikiria achia mbali kuusogelea ukurugenzi wa Tanroads

Personal vendetta zitatuua!!!Having said that,I believe unachoongea hapa hujafikiria vizuri.Kwa hiyo unataka kuniambia Dr. Idris Rashid amesomea U-CEO wa Tanesco?Stop being stupid.As long as una qualities za uongozi,kwani ni dhambi kuapply?Au unataka kuniambia hao wote ma-CEOs wamesomea hizo kazi OR wamepitia shule inayohusu specifics za kazi hizo?Kuwa Engineer hakikufanyi kuwa a great CEO/leader/Manager!Unajua kuwa huyo Mrema alikuwa na BSc. in Civil Engineering?na MSc. in Project management??Unaongea tu bila kutafuta facts.Nyie ndio watu mnaotia hasira tukisoma posts huku JF.Sick!Fanya campaign niwe banned!
 
Imeelezwa kwamba Magufuli anavuruga mchakato wa kumpata Mtendaji Mkuu wa Tanroads kwa nia ya kumsadia mtu anayetajwa kuwa ni rafiki yake, Patrick Mfugale ambaye kwa sasa andiye anakaimu nafasi hiyo, pamoja na kuwa kipindi aliachotakiwa kukaimu kilishapita.

“Tunajua anapoipotosha serikali kutaka Mfugale aiteuliwa pamoja na kuwa alimteua kukaimu kibabe huku akijua Rais alimvua madaraka kwa sababu ambazo serikali inazijua na ziliainishwa katika barua iliyomvua nafasi yake,” anasema Ofisa mwingine wa juu wa Ujenzi.

*

Tayari serikali kupitia Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetangaza majina ya watu walioitwa kwenye usaili wa nafasi ya Mtendaji wa Tanroads akiwamo Mfugale.
 
duh! jamani, usichokijua usiandike hapa, wakati wa utawala wa mrema, eng. mfugale hakuwa tanroads, alikuwa wizarani.
tafadhali jamani tuweke taarifa tunazizijua na tulizonazo uhakika, kuropoka ovyo ovyo kuna hatarisha imani ya wnanchi kwa jamii forums,
wanaojua ukweli watatucheka na kupoteza imani nasi, tuache kuropoka tusiyo yajua!
..Kweli kazi tunayo....!!!! mshazoea vya kunyonga....!!!!
 
kwa nchi zinazofuata misingi ya uwajibikaji basi kitendo cha jana waziri magufuli kukataa makabidhiano ya barabara lindi wakati wasimamizi wake wakuu wa tanroads akiwemo kaimu chief waliwakagua katika kila stage ni wa kusikitishwa na ni lazima tuangalie hivi mifumo ya utendaji wa watawala wetu huko vipi unakataa makabidhiano ya barabara lakini wale waliokagua na kuwaruhusu waendelee na ujenzi mpaka mwisho bado hakuna hatua yeyote inayochukuliwa
 
si ndiye aliyekuwa mkurugenzi wa miradi katika wizara sasa unawezaje kumtofautisha na matatizo yanayoendelea sasa au nini kipya anachokifanya kwenye ukaimu wake .....katika kipindi cha ukaimu wake ndio TANROAD indaiwa na wakandarasi zaidi ya shs Bil 400 sasa kwanini kwa kutoendelea kuepusha makosa yanayofanywa na kaimu huyu kusifanyike uteuzi kamili wa nafasi hii na kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo wakati magufuli anamuondosha mrema kulikuwa migogoro ndani ya mameneja ambao wengi walikuwa wanalalamika juu ya uwezekano wa ENG mfugale kukaimu na ndio huu muendelezo wa matatizo ambapo sasa kuna kampuni kubwa nyingi zimeweka vifaa chini na zinaidai serikali fidia ....................kwanini ukaimu uendelee na kuendelea kuleta hasara badala ya kupatikana chief halisi na si kukaimu
kwani TANROAD imekuwa kitengo cha propaganda ambacho hiza tambwe alikaimu kwa zaidi ya miaka miwili?

Mkuu kama hujui kitu uliza uambiwe na siyo kupost kitu usichokijua. Hapa jamvini si mahala pa tetesi ni mahala ambapo kunatolewa habari za uhakika na si za kufikirika. Eng. Mfugale hakuwa mkuu wa miradi wizarani, yeye kabla alikuwa mkurugenzi wa barabara baadaye akateuliwa mwingine kushika nafasi hiyo na eng. Mfugale akawa yupo tu wizara kama afsa wa kawaida. Baada ya Mrema kutoka TANROADS ndipo mfugale akateuliwa kukaimu hiyo nafasi.

Tusonge mbele. Kama alivyosema mmoja wetu hapa, watu wameitwa kwenye usaili na usaili ulifanyika tarehe 03.05.2011 kwa maana hiyo basi muda si mrefu mchakato utakamilika na nadhani hao TANROADS watampata Mkurugenzi wao mpya (Mkurugenzi kamili) kwani hata huyo aneyekaimu naye amesailiwa kwa hiyo yeyote kati ya sita waliosailiwa anaweza kuteuliwa. Tufuatilie tutapata jina muda si mrefu
 
Labda nchi nzima ibinafsishwe, au ikodiwe serikali toka nje, mimi nashauri tumkodi Tony Blair au George Bush, hamna mtu hata mmoja msafi na mchapakazi hapa Tanzania wa kupewa Tanroads halafu isifikiri kujenga mahekalu yake kwanza, hebu bana kona pale sinza au visehemu fulani wanakokaa jioni kujichana, halafu sikiliza maongezi ya hao wenye kazi serikali, hamna lingine kama sio maslahi yao, na eti ndio ujanja...
 
Mkuu kama hujui kitu uliza uambiwe na siyo kupost kitu usichokijua. Hapa jamvini si mahala pa tetesi ni mahala ambapo kunatolewa habari za uhakika na si za kufikirika. Eng. Mfugale hakuwa mkuu wa miradi wizarani, yeye kabla alikuwa mkurugenzi wa barabara baadaye akateuliwa mwingine kushika nafasi hiyo na eng. Mfugale akawa yupo tu wizara kama afsa wa kawaida. Baada ya Mrema kutoka TANROADS ndipo mfugale akateuliwa kukaimu hiyo nafasi.

Tusonge mbele. Kama alivyosema mmoja wetu hapa, watu wameitwa kwenye usaili na usaili ulifanyika tarehe 03.05.2011 kwa maana hiyo basi muda si mrefu mchakato utakamilika na nadhani hao TANROADS watampata Mkurugenzi wao mpya (Mkurugenzi kamili) kwani hata huyo aneyekaimu naye amesailiwa kwa hiyo yeyote kati ya sita waliosailiwa anaweza kuteuliwa. Tufuatilie tutapata jina muda si mrefu
hivi huyu mfugale si ndiye yule ambaye aliyesimamishwa na rais ila magufuli akamchagua yeye je kuna nini kati ya Eng mfugale na maguful au wote ni shareholder wa kampuni ya NYANZA ROADS
 
Taifa likiwa na wakati mgumu wa kujua ni nani ambaye atateuliwa kuwa mkuu wa Tanroad....kwani utendaji wa sasa umelisababishia taifa hasara kubwa sana katika mikataba yake na wakandarasi....chief aliyetangulia MR. Mrema akisaidiwa na ENG.MFUGALE waliiweka TANROAD wakati mgumu wa madeni kwenye mikataba mibovu na wakandarasi.....
nini kinakwamisha uteuzi wa chiefu na kuacha taasisi ikiendeshwa kimagumashi?

Nijuavyo mimi ENG.MFUGALE hakuwahi kuwa msaidizi wa Mrema. Inatilia shaka lengo la thread yako. Kwa ushauri tu sioni tatizo la Mfugale kukaimu hata kuteuliwa kwenye nafasi hiyo. Ana rekodi nzuri ya utendaji hasa kwenye madaraja ambayo amebobea.
 
Personal vendetta zitatuua!!!Having said that,I believe unachoongea hapa hujafikiria vizuri.Kwa hiyo unataka kuniambia Dr. Idris Rashid amesomea U-CEO wa Tanesco?Stop being stupid.As long as una qualities za uongozi,kwani ni dhambi kuapply?Au unataka kuniambia hao wote ma-CEOs wamesomea hizo kazi OR wamepitia shule inayohusu specifics za kazi hizo?Kuwa Engineer hakikufanyi kuwa a great CEO/leader/Manager!Unajua kuwa huyo Mrema alikuwa na BSc. in Civil Engineering?na MSc. in Project management??Unaongea tu bila kutafuta facts.Nyie ndio watu mnaotia hasira tukisoma posts huku JF.Sick!Fanya campaign niwe banned!

Asante Ingini ya mrema-tumekupata lakini ukweli ni kuwa hustahili na uthibitisho wa hilo ni output ulioitoa ukiwa pale tanroads
 
Labda nchi nzima ibinafsishwe, au ikodiwe serikali toka nje, mimi nashauri tumkodi Tony Blair au George Bush, hamna mtu hata mmoja msafi na mchapakazi hapa Tanzania wa kupewa Tanroads halafu isifikiri kujenga mahekalu yake kwanza, hebu bana kona pale sinza au visehemu fulani wanakokaa jioni kujichana, halafu sikiliza maongezi ya hao wenye kazi serikali, hamna lingine kama sio maslahi yao, na eti ndio ujanja...

Mh, hao jamaa unataka waje kuandika historia mpya ya Tanganyika kuipiga Zanzibar nini? na kisingizio itakuwa nini, alshabaab, ghailani, cuf au Farid Hadi yule aliyechana muswada wa katiba!
 
mh, hao jamaa unataka waje kuandika historia mpya ya tanganyika kuipiga zanzibar nini? Na kisingizio itakuwa nini, alshabaab, ghailani, cuf au farid hadi yule aliyechana muswada wa katiba!

kwani kuna magaidi zanzibar?
 
Back
Top Bottom