juve pauly JF-Expert Member Joined Jul 26, 2015 Posts 506 Reaction score 433 Oct 7, 2016 #241 mpiga era said: Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya Click to expand... Sio sura! Swaga Huna
mpiga era said: Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya Click to expand... Sio sura! Swaga Huna
juve pauly JF-Expert Member Joined Jul 26, 2015 Posts 506 Reaction score 433 Oct 7, 2016 #242 Daby said: Huu uzi utakuwa na fursa kibaooo..sibanduki Click to expand... Umeona fursa ngap mkuu
riyama New Member Joined Oct 2, 2016 Posts 1 Reaction score 0 Oct 7, 2016 #243 Niko single coz nliempenda amependwa na weng
juve pauly JF-Expert Member Joined Jul 26, 2015 Posts 506 Reaction score 433 Oct 7, 2016 #244 riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... Usipende kupenda chako! Penda vinavyopendwa na wenzio.
riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... Usipende kupenda chako! Penda vinavyopendwa na wenzio.
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 34,961 Reaction score 80,193 Oct 7, 2016 #245 juve pauly said: Umeona fursa ngap mkuu Click to expand... Vipi na wewe fursa nini
Habuba JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 918 Reaction score 1,207 Oct 7, 2016 #246 mpiga era said: Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya Click to expand... hamna mwanamme mbaya, mwanamme kivyote utakavokuwa baridi tyu, ila kuna wanawake wabaya na wanawake mapini so labda utakuwa hujapata anae kupenda, Au tumia hela ifanye kazi yake
mpiga era said: Nipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya Click to expand... hamna mwanamme mbaya, mwanamme kivyote utakavokuwa baridi tyu, ila kuna wanawake wabaya na wanawake mapini so labda utakuwa hujapata anae kupenda, Au tumia hela ifanye kazi yake
bailamos Senior Member Joined Nov 14, 2015 Posts 188 Reaction score 122 Oct 7, 2016 #247 Ninaowapenda pasua kichwa..Nisiye mpenda kaja..
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 7, 2016 Thread starter #248 palsa said: Kuna vitu vitam kuliko dyudyu Click to expand... Hahaaaaaaa hii tamuuu
muller12 Member Joined Jul 28, 2016 Posts 44 Reaction score 19 Oct 7, 2016 #249 Coz niliyempenda jamaa kanizidi
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 7, 2016 Thread starter #250 Miss Natafuta said: pm yangu mbovu ngoja niirekebishe Click to expand... Rekebisha weka A.M
M MUME WETU Member Joined Sep 23, 2016 Posts 24 Reaction score 12 Oct 7, 2016 #251 Nipo single coz bado mdogo(under 25)
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 7, 2016 Thread starter #252 riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... Khaaaa wee vipi? unamtaka wa kwako peke ako? Yaani umpende wee peke ako wengine wasimpende? Kwa zama hizi utasubiria sana tu
riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... Khaaaa wee vipi? unamtaka wa kwako peke ako? Yaani umpende wee peke ako wengine wasimpende? Kwa zama hizi utasubiria sana tu
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 7, 2016 Thread starter #253 Daby said: Vipi na wewe fursa nini Click to expand... Hii fursa hii inabidi tuichangamkie
Leloo June JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 1,012 Reaction score 945 Oct 7, 2016 #254 Miss Natafuta said: kwa sababu sijapata anaenipenda jinsi nilivo Click to expand... Pamoja na kutafuta kote uko???
Miss Natafuta said: kwa sababu sijapata anaenipenda jinsi nilivo Click to expand... Pamoja na kutafuta kote uko???
Leloo June JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 1,012 Reaction score 945 Oct 7, 2016 #255 juve pauly said: Sio sura! Swaga Huna Click to expand... Sio pesa???
Complex Minder JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 534 Reaction score 160 Oct 7, 2016 #256 Nipo single kwa sababu bado sijapata
Leloo June JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 1,012 Reaction score 945 Oct 7, 2016 #257 riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... sogea tena tayari nimeshatemana nao wote.
riyama said: Niko single coz nliempenda amependwa na weng Click to expand... sogea tena tayari nimeshatemana nao wote.
M Makunga JF-Expert Member Joined Dec 21, 2011 Posts 771 Reaction score 551 Oct 7, 2016 #258 Niko single kwasbabu bado sijampata mwanaume ninaempenda.
Squidward JF-Expert Member Joined Jul 21, 2014 Posts 8,383 Reaction score 10,457 Oct 7, 2016 #259 lian rich said: Nipo single maana wenye upungufu wa nguvu za kiume hawajiweki wazi nikawafata Click to expand... hahahah hebu funguka unataka kumfanya nini asiye na nguvu hizo
lian rich said: Nipo single maana wenye upungufu wa nguvu za kiume hawajiweki wazi nikawafata Click to expand... hahahah hebu funguka unataka kumfanya nini asiye na nguvu hizo
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 7, 2016 Thread starter #260 Hadi mda huu kitu nilichogundua humu ndani: Faida ya kuwa Single ni Unapunguza matumizi ya pesa (kwa wanaume). Unakuwa free kufanya chochote, sehemu yoyote, mda wowote na mtu yeyote bila kuulizwa ulizwa vimaswali. Unakuwa hauna hofu ya kutendwa au kusalitiwa. Unakuwa hauna Stress za mapenzi. Hasara za kuwa Single ni: Moyo Unatamani ukiona mwenzio kapendwa kwa dhati Kero ya kuulizwaulizwa vijiswali na ndugu jamaa na marafiki kuhusu shemeji yao au wifi yao yu wapi mbona hawamuoni. Unakua mtu wa kudate date tuuuuu.
Hadi mda huu kitu nilichogundua humu ndani: Faida ya kuwa Single ni Unapunguza matumizi ya pesa (kwa wanaume). Unakuwa free kufanya chochote, sehemu yoyote, mda wowote na mtu yeyote bila kuulizwa ulizwa vimaswali. Unakuwa hauna hofu ya kutendwa au kusalitiwa. Unakuwa hauna Stress za mapenzi. Hasara za kuwa Single ni: Moyo Unatamani ukiona mwenzio kapendwa kwa dhati Kero ya kuulizwaulizwa vijiswali na ndugu jamaa na marafiki kuhusu shemeji yao au wifi yao yu wapi mbona hawamuoni. Unakua mtu wa kudate date tuuuuu.