Kwanini unidanganye? Sasa kiko wapi?

Hahaaaaa mjini akili tu
Jembe kwenu handeni
Hakiiii. Jana nilikua naambiwa we endelea hivyo hivyo utaishia na hao wa laki 2 3 sisi wenzio usione tunaishi hivi mjini. Usione nalipa kodi million kadhaa ukadhani nazifanyia kazi. Wanaume hawa ukijiweka juu wanakupa vikubwa
. Nikamwambia nimekuelewa dada ila kuishi uongo ntadakwa tu siku
 
Hahaaahaa!duh!mjini hapaa!

Ila kazi anayo si ndo hyo kudangaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…