Nitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.hahaaaaa itabidi umfanyie surprise ya nguvu halafu uniite nami nione
ikiwezekana mwambie akupeleke Hyatt hotel siku hiyo πππ
Wadanganye wajinga, umame wako uachwa uje kudanganya wenzio..!Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Thank you much my brother.Very few women understand this concept,you are always a wise woman,big up...
hahhaaaaaa aisee ata-enjoy kweli duuuNitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.
Au akapenda Nashera Morogoro!
Google Nashera halafu uje hapa ulete Mrejesho!
Nimetenga 450$ kwa siku hiyo TUU!
HELA inatafutwa ila matukio kama hayo hayatafutwi na hayajirudii!
umeandika lugha gani kindengerekoo hahaaaaaaaaaaaaWadanganye wajinga, umame wako uachwa uje kudanganya wenzio..!
SASA UTAJUA KUWA KWA TAJIRI CHA NINI MASIKINI NITAKIPATA WAPI...
Hayupo mwenye akili timamu atasapoti ushauri wa kiwango cha chini kiasi hicho. Labda da shosti Joy!lin
linywe hilo au lishakupalia ππππ
wewe mwenyewe hujijui ushasapoti kiaina hahahaaaaaaaHayupo mwenye akili timamu atasapoti ushauri wa kiwango cha chini kiasi hicho. Labda da shosti Joy!
ohooooooAnadhan ni rahisi tu kama kwenda chooni na kupuu
wako wanaoeeleweka ndo maana nikasema sio wote baadhi yao ndo hao wanakung'ata hovyohovyoHii inaonesha si wote wasioeleweka.
Wewe ni mwanamke bora kabisa.
Mke bora na mama mzuri
Ana heri mwanaume aliye/atakaye kuoa.
hiyo avatar ni wewe auπππNitampeleka Popote Atakapopenda yeye....inawezekana Asipapende hapo Hyatt...akapenda labda kiwanja kingine kikali tuu kama vya dola 180-240$.
Au akapenda Nashera Morogoro!
Google Nashera halafu uje hapa ulete Mrejesho!
Nimetenga 450$ kwa siku hiyo TUU!
HELA inatafutwa ila matukio kama hayo hayatafutwi na hayajirudii!
ππUmevurugwa unatamani wote wawe vivuruge kitu ambacho hakiwezekani, nakuona ukiachana na mwanaume huku ukitafuta mwanaume, jembe lilelile mpini tu tofauti.
Hili Swali Muulize Evelyn salt Atakujibu,hiyo avatar ni wewe auπππ
ahahahahaha kidogo na mimi niandike ulichoandika huyo shosti atasubiri sanaaa... wanawake tupo kibaoWanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.
Uwe na consistency unapotoa nasaha zako!
hii ni movie au reality?Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
Mmmh hapana huu si ushauri mzuri ... Mwanamke mwerevu hashindwi kummiliki mume. Ukikimbia unatoa mwanya kwa wanoweza kushika mwanaume. By the way kwann mpaka mwanaume akuache? Nadhani hamna elim ya mapenzi. Nendeni tanga kuna vyuo kule maana kumkimbia mume sio suluhishoHabarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo
Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.
Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako
Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri
kwaherini
We nu wa Tanga nn Emmyta! Una busara sana...Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.
Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.