Kwanini ung'atwe ovyo!!

labda uwajulishe wenzio watamjuaje waliyoandikiwa kuwa nao wa kufa na kuzikana
 
Tone yako inaonyesha kushindwa, mtu aliyeshindwa anatamani kila mtu ashindwe ili wakishindwa wote wapongezane na kupeana moyo.
 
ukiondoka nachukua mwingine shida IPO wapi
 
ndo mana kwenye ndoa mnapewa cheti kwanza,,

walijua kuna kung'atwa pia
 
Wewe utakuwa Unatuonea Wivu Mimi na Evelyn Salt...Tangu lini Binadamu Tukabaguana?tena Kwenye Jukwaa hili?
Sidhani kama utafanikiwa...
hahahaaaaaa sikuonei wivu jamani samahani shosti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…